sab
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 5,723
- 4,286
Salaam wana jf,
Naombeni kujua sababu na dawa ya tumbu kuunguruma, hua linaanza nasikia dalili za kujamba sasa wakati mwingine nipo kwenye msongamano wa watu hivyo siwezi kujamba inabidi nijibane ushuzi usitoke hapo sasa ndio tumbo litanguruma weee kwa mliomkubwa,
Naombeni kujua sababu na dawa yake
Naombeni kujua sababu na dawa ya tumbu kuunguruma, hua linaanza nasikia dalili za kujamba sasa wakati mwingine nipo kwenye msongamano wa watu hivyo siwezi kujamba inabidi nijibane ushuzi usitoke hapo sasa ndio tumbo litanguruma weee kwa mliomkubwa,
Naombeni kujua sababu na dawa yake