Baikije
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 876
- 1,219
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia juice ya miwa sana kama maji yako ya kunywa au kunywa maji sana.unashida kuanzia mfumo wa maji mwilini ukiwa na kiwango kikubwa cha madini yenye visababishi vya acidic na nchunviHabari wakuu.
Nilikuwa na shida ya UTI kwa muda ilinisumbua nikaja nikatumia dawa hasa za mitishamba ikaisha maana za dukani zilidunda zote.
Shida ni kwamba bado mkojo unakuwa unachoma ila nikipima no UTI. Nimeshapima hadi hospitali kubwa inaleta negative.
Je, nini tatizo? Msaada please
Sent using Jamii Forums mobile app