Msaada - tatizo la vipele visivyo washa kifuani na mgongoni

Msaada - tatizo la vipele visivyo washa kifuani na mgongoni

herman3

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2015
Posts
556
Reaction score
736
Ndugu habarini.

Kama kichwa cha uzi kilivyo, nimekumbwa na tatizo hili la kuwa na vipele vingi eneo la kifuani na mgongoni kwenye eneo la mabega kwa muda wa zaidi ya miezi sita sasa. Hivi vipele haviwashi na havina maumivu yoyote, nimefika hospital tofauti tofauti zaidi ya 5, lakini dawa nilizokuwa napewa ni za kupaka tu, na zinasaidia vitapungua kwa muda ambapo nazitumia, kisha vinarejea baada ya siku chache. Naombeni ushauri na msaada nifanye nini? Maana hadi nimepima magonjwa mengine kama hiv ili kubaini tatizo lakini niko salama, sasa sijui hili ni tatizo gani.
 
Tumia vidonge vya fluconazole

na skderm cream kwaajili ya kupaka kwenye ngozi
 
Tatizo lipo katika damu hivyo baada ya matumizi ya dawa nilizotaja kwa mda wa siku 3 nitaomba mrejesho
 
Ndugu habarini.

Kama kichwa cha uzi kilivyo, nimekumbwa na tatizo hili la kuwa na vipele vingi eneo la kifuani na mgongoni kwenye eneo la mabega kwa muda wa zaidi ya miezi sita sasa. Hivi vipele haviwashi na havina maumivu yoyote, nimefika hospital tofauti tofauti zaidi ya 5, lakini dawa nilizokuwa napewa ni za kupaka tu, na zinasaidia vitapungua kwa muda ambapo nazitumia, kisha vinarejea baada ya siku chache. Naombeni ushauri na msaada nifanye nini? Maana hadi nimepima magonjwa mengine kama hiv ili kubaini tatizo lakini niko salama, sasa sijui hili ni tatizo gani.
Pole sana, wewe unadamu chafu wahitji kusafisha damu. Tatizo la wasomi wetu wanatibu dalili ndio maana wanapaka cream cream tu kila wakati creams maranyingi hutibu magonjwa ya mba, vishilingi, eczema nk, ila kwa issue ya vipele na majipu ni damu kuisafisha waweza fanya mwenyewe ingawa itachukua muda mfano, tumia mboga za majani zenye Iron Florine kwa wingi mfano, mchunga (wild lettuce), mnavu nk
Pia kufunga usafisha mwili yaani fasting waweza kunywa maji tu kama utashindwa kushinda na njaa kabisa.
Pia diet unapaswa kubadilisha maana unakula vyakula ambavyo sio organic hivyo vinazalisha mucus kwa wingi kwenye damu nakusababisha ubebaji wa oxygen kupungu kwenye cell nakusababisha cell erotion.
Kwa tiba ya haraka unahitaji herbs zenye umeme mkali ilikusafisha kwa haraka. Unaweza nichek 0687439333.
Niwewe tu!
 
Ndugu habarini.

Kama kichwa cha uzi kilivyo, nimekumbwa na tatizo hili la kuwa na vipele vingi eneo la kifuani na mgongoni kwenye eneo la mabega kwa muda wa zaidi ya miezi sita sasa. Hivi vipele haviwashi na havina maumivu yoyote, nimefika hospital tofauti tofauti zaidi ya 5, lakini dawa nilizokuwa napewa ni za kupaka tu, na zinasaidia vitapungua kwa muda ambapo nazitumia, kisha vinarejea baada ya siku chache. Naombeni ushauri na msaada nifanye nini? Maana hadi nimepima magonjwa mengine kama hiv ili kubaini tatizo lakini niko salama, sasa sijui hili ni tatizo gani.
Mkuu mrejesho vipi, ulifanikiwa kupata tiba na ulitumia njia ipi?
 
kaka habari hio changamoto ya vipele mgongoni ma kifuani visivyowasha imenikuta leo kaka naomba kupata mrejesho wako ulitimia dawa gan mpaka ukawa sawa
 
Back
Top Bottom