MSAADA: Tatizo la vitu kutembea mwilini

lee jack

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2017
Posts
1,062
Reaction score
1,871
Habari zenu na pia heri ya Christmas, jaman ndugu yenu nafunga mwaka vibaya; naumwa vitu vinatembea mwilini na mwili unatikisika. Nitumie tiba gani nimehangaika hospital zote sioni tatizo.

Nimeenda kwenye maombi lakini bado kwa anaejua tiba anisaidie nipone. Halafu ajabu ni kuwa watu wengine wanatibiwa wanapona na Masheikh na Wachumgaji lakini mimi siponi sijui shida ni nini.

Au miujiza inachagua jamani, mbona sielewi?

Shukran.
 
Kwakuwa mnapenda uponyaji kuliko kumpenda anayeponya sasa mtageuzwa kuwa birika za kuwatajirisha manabii na mitume.

Vifungo, uchawi, laana na kila hila chafu za Ibilisi huisha pindi tu mtu anapojawa roho Mtakatifu.

Na hutaona hata siku moja nabii wa mchongo anawawekea mikono watu ili wajawe roho Mtakatifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…