MSAADA: Tatizo na madoa meusi mikononi na miguuni

MSAADA: Tatizo na madoa meusi mikononi na miguuni

Marek18

Member
Joined
Apr 26, 2020
Posts
20
Reaction score
18
Naomba msaada wa kuondoa madoa haya kwa mdogo wangu wa kike
umri miaka 15.

mwanzo alikua anasumbuliwa na upele uliokua unajitokeza kwa awamu na alipoenda hospital aliambiwa ni Allergy.

Hili tatizo la kupata vipele vinavyowasha lilikua lina kuja na kupotea baada ya muda....

Baadae kidogo ndipo limekuja hili la upele miguuni na baada ya upele kuondoka yamebaki haya madoa meusi...

Haya madoa yameharibu muonekano mzuri wa miguu yake kabsa....

Naombeni msaada kwa yeyote mwenye uelewa juu ya tatizo hili.

IMG20221006091731.jpg
IMG20221006091731.jpg
IMG20221006091717.jpg
IMG20221006091717.jpg
IMG20221006091711.jpg
IMG20221006091711.jpg
 
Back
Top Bottom