Marek18 Member Joined Apr 26, 2020 Posts 20 Reaction score 18 Oct 6, 2022 #1 Naomba msaada wa kuondoa madoa haya kwa mdogo wangu wa kike umri miaka 15. mwanzo alikua anasumbuliwa na upele uliokua unajitokeza kwa awamu na alipoenda hospital aliambiwa ni Allergy. Hili tatizo la kupata vipele vinavyowasha lilikua lina kuja na kupotea baada ya muda.... Baadae kidogo ndipo limekuja hili la upele miguuni na baada ya upele kuondoka yamebaki haya madoa meusi... Haya madoa yameharibu muonekano mzuri wa miguu yake kabsa.... Naombeni msaada kwa yeyote mwenye uelewa juu ya tatizo hili.
Naomba msaada wa kuondoa madoa haya kwa mdogo wangu wa kike umri miaka 15. mwanzo alikua anasumbuliwa na upele uliokua unajitokeza kwa awamu na alipoenda hospital aliambiwa ni Allergy. Hili tatizo la kupata vipele vinavyowasha lilikua lina kuja na kupotea baada ya muda.... Baadae kidogo ndipo limekuja hili la upele miguuni na baada ya upele kuondoka yamebaki haya madoa meusi... Haya madoa yameharibu muonekano mzuri wa miguu yake kabsa.... Naombeni msaada kwa yeyote mwenye uelewa juu ya tatizo hili.
Mpinzire JF-Expert Member Joined Jan 18, 2013 Posts 7,503 Reaction score 13,463 Dec 3, 2022 #2 Jaman hamkuona ombi la jamaa?