Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Ukiachana na hyo kma uko njema Kuna hospital ya private hata bima wanachukua iko magomeni usalama pale karibu na jengo la utumishi house inaitwa omega dental pia wako poa wanachukua bima.Hii hospital ya Regency iko wapi madam kwa Dar ?, naomba unielekeze !
Shukrani mkuu , nitakuja ngoja nijipige pige wiki ijayo nitokee 80k sio mbaya turudishe tabasamu aseee!! Sijawahi kupata shida ya meno kung'oa wala kuuma !! Ila nataka nijiwekee mazoea ya kuwa naenda kusafisha meno nasikia yanakua meupe zaidi !Ukiachana na hyo kma uko njema Kuna hospital ya private hata bima wanachukua iko magomeni usalama pale karibu na jengo la utumishi house inaitwa omega dental pia wako poa wanachukua bima.
Nyingine sema hawachukui bima wapo mabibo mwisho relini ibungu bar hapa Ina gorofa Kam tatu ivi iko barabara kabisa ila hawachui bima but gharama nafuu haizidi 80k . Jichange uje aibu mzee
Nyuma ya fire auHii hospital ya Regency iko wapi madam kwa Dar ?, naomba unielekeze !
umetumia colgate gani kuondoa unjano kwenye meno maana tatizo la meno kuwa ya njano linanitesa.HABARINI ZA WEEKEND WANA JF,
Natumai mu buheri wa afya.
Kwa Ufupi Mimi ni kijana wa kiume miaka 22. Ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimojawapo apa Tanzania.
Nimeandika huu uzi kuomba msaada ni dawa gani nzuri ya meno au tiba ambayo itatumika kungarisha meno. Apa tatizo ni meno kuwa na rangi nyeusi kwa upande wa ndani na hata kwa baadhi ya meno unajitokeza kwa upande wa nje.
Hata inakuwa vigumu kucheka au kutabasamu mbele ya watu. Nimetumia dawa za meno kama Colgate ila zinaondoka unjano lakini huo weusi weusi hauondoki.
Naamini hili jukwaa lina wataalamu au muhanga aliyeikimbia hii shida. Ndio maana naamini nitapata suluhisho la hili tatizo.
Na pia hili tatizo liko kwa watu wengi sana. Naamini ushauri wenu utakuwa msaada kwa watu wengi.
Nawasilisha.