Msaada:Tatizo wakati wa Kukojoa.

Msaada:Tatizo wakati wa Kukojoa.

Joined
Mar 22, 2013
Posts
21
Reaction score
3
Hello Jf members!
Mimi ni mwanaume,aged 23.
Kwa muda sasa,wakati wa kukojoa mkojo hutoka kwa matone matone,tofauti na hali ya kawaida ya wanaume,ambapo mkojo hutoka as a stream.
Naombeni msaada juu ya chanzo cha tatizo hili na hatua za kuondokana na tatizo hili.
AHSANTENI.
 
Kawaone wataalamu wa afya kusudi ujue sababu mahususi,n way fanya hivi kunywa maji mengi sana uone Kama Hali itabadilika,isipobadilika ni busara kwenda hospital
 
Nenda hospital haraka, kuna ugonjwa wanamme huwa wanashindwa kukojoa, anaumia mno. Labda ndio unaanza?!
 
wahi vipimo haraka..unywe na maji ya madafu kwa wingi
 
Umeshahi kufanya matusi bila condom? if yes, lini?

Kwa umri wako mara nyingi tatizo kama hilo husababishwa na infections. Unatakiwa kwenda kwenye hospitali ambayo wataweza kufanya microbiology analysis ya mkojo wako na specimen ya kutoka kwende urethra. Hapo wanaweza kuona kama kuna vijidudu vilivyosababisha na kujua dawa yenye uwezo wa kujingamiza.

Kwa kipindi hiki inabidi uhaihirishe kufanya matusi mpaka utakapojua sababu ya uginjwa wako. Vilevile kunywa maji mengi, yasipungue lita mbili kwa siku.
 
Humu ifikie wakati tuanze kuambiana ukweli
hilo swala lako kweli la kuleta Jf dr.?
Nimeona sisi wanaume tuna tatzo kabsa
huwa na tunakaa na matatizo na kuyaleta jf mpaka tuambiwe tukawaone wataalamu?
Hivi swala dogo kama hili linahtaji elimu ya kujua hapa naumwa au laa!
Kwa nikamuone dr. Au vp?
Ninachojua mm nikuwa mtu umeenda kwa mtaalam kakwambia kuwa mf. Una UTI,Gono au syphil au hawaoni tatizo au umepewa dawa haujapona ndo unakuja huku kuomba altntve way ya kutatua tatzo lako!
Jiulize kuwa kati Jf na Dr ambaye utamueleza tatzo lako ukiwa naye karib na akachukua vipmo! yupi bora

Sawa sikatai kuwa hapa kuna ma dr. Tena wakubwa tu na hili jukwaa mimi naliheshimu sana coz naonaga watu wanaeleza matatzo yao na wanandikiwa dawa wanatumia na wanaleta feedback
kuna matatzo mengine tunaweshauriana tukapitsha kuwa una U.t.i tukakushauli kumywa maji mengi sjui uchanganye na limao. Kumbe unakansa ya kibofu sjui, una matatizo kwa figo au una kisono
ukawa unajichelewesha kwenda kuwah tatzo ! Wewe unafkiri hii imekaa sawa?

usije ukanifikilia vibaya au nakukashfu badala kukupa dawa
nini namaanisha angalia mfano huu!
Mimi ni mmoja kati ya watu kama ww nilikuwa naleta uzi kila mara kuhusu maswala ya uzazi leo nakuja na pre-mature ejacltn kesho nakuja na la sperm count, speed n.k
sasa kila siku wakina MziziMkavu hapa wananishauri na kunimbia nikatumie nini, wakati huo huo siku ya kushika ujazito ni ipi kwa mke wangu? Dawa napewa lkn tatzo halihish na ambiwa siku za mke wangu za hatar na kweli dalili naziona lkn hapat mimba
hatua nilioichuku ni wanaume wachache wanojitokeza kuona wataalamu nilienda kwa Dr. Kwa kupima Sperm test lkn nilifunguka sana kueleza matatzo yangu aliniambia ni kuwa niachane na Sperm test bali kipmo kinaitwa FBP(full Blood Picture) vipmo vkaonyesha kuwa cells za damu zipo chini mno yaani
Red blood cells- zipo chini sana chache
Wht blood cells na zenyewe hivyo hvyo
Platelte hizi ndo kabisa 30 wakat nomal ni kuanzia 150 kuendelea

kwa hiyo swala zima la uzazi kuanzia
sperm speed,count/volume na pre-matre ejaculatn hayawez kukaa sawa bila hizi cells!!!

sasa je nisingekwenda hosptl si ningekuwa kwa waganga au natafuta viagra farmacy au dawa za wamasai au namlalamikia mke wangu hazai???

chukua mfano huo kajifunze!!
 
Last edited by a moderator:
Humu ifikie wakati tuanze kuambiana ukweli
hilo swala lako kweli la kuleta Jf dr.?
Nimeona sisi wanaume tuna tatzo kabsa
huwa na tunakaa na matatizo na kuyaleta jf mpaka tuambiwe tukawaone wataalamu?
Hivi swala dogo kama hili linahtaji elimu ya kujua hapa naumwa au laa!
Kwa nikamuone dr. Au vp?
Ninachojua mm nikuwa mtu umeenda kwa mtaalam kakwambia kuwa mf. Una UTI,Gono au syphil au hawaoni tatizo au umepewa dawa haujapona ndo unakuja huku kuomba altntve way ya kutatua tatzo lako!
Jiulize kuwa kati Jf na Dr ambaye utamueleza tatzo lako ukiwa naye karib na akachukua vipmo! yupi bora

Sawa sikatai kuwa hapa kuna ma dr. Tena wakubwa tu na hili jukwaa mimi naliheshimu sana coz naonaga watu wanaeleza matatzo yao na wanandikiwa dawa wanatumia na wanaleta feedback
kuna matatzo mengine tunaweshauriana tukapitsha kuwa una U.t.i tukakushauli kumywa maji mengi sjui uchanganye na limao. Kumbe unakansa ya kibofu sjui, una matatizo kwa figo au una kisono
ukawa unajichelewesha kwenda kuwah tatzo ! Wewe unafkiri hii imekaa sawa?

usije ukanifikilia vibaya au nakukashfu badala kukupa dawa
nini namaanisha angalia mfano huu!
Mimi ni mmoja kati ya watu kama ww nilikuwa naleta uzi kila mara kuhusu maswala ya uzazi leo nakuja na pre-mature ejacltn kesho nakuja na la sperm count, speed n.k
sasa kila siku wakina MziziMkavu hapa wananishauri na kunimbia nikatumie nini, wakati huo huo siku ya kushika ujazito ni ipi kwa mke wangu? Dawa napewa lkn tatzo halihish na ambiwa siku za mke wangu za hatar na kweli dalili naziona lkn hapat mimba
hatua nilioichuku ni wanaume wachache wanojitokeza kuona wataalamu nilienda kwa Dr. Kwa kupima Sperm test lkn nilifunguka sana kueleza matatzo yangu aliniambia ni kuwa niachane na Sperm test bali kipmo kinaitwa FBP(full Blood Picture) vipmo vkaonyesha kuwa cells za damu zipo chini mno yaani
Red blood cells- zipo chini sana chache
Wht blood cells na zenyewe hivyo hvyo
Platelte hizi ndo kabisa 30 wakat nomal ni kuanzia 150 kuendelea

kwa hiyo swala zima la uzazi kuanzia
sperm speed,count/volume na pre-matre ejaculatn hayawez kukaa sawa bila hizi cells!!!

sasa je nisingekwenda hosptl si ningekuwa kwa waganga au natafuta viagra farmacy au dawa za wamasai au namlalamikia mke wangu hazai???

chukua mfano huo kajifunze!!
Mkuu.@gody sisi tunachowaambia watu humu ndani jambo la kwanza nenda kapime au nenda kamuone Daktari lakini utakuta mtu akiwa mgonjwa au akigomban na mke wake kidogo anakimbilia Jamii forums kueleza shida yake

wakati hospitali zipo na Ma-Daktari wapo wa kuwaeleza shida zako. hapa unakuja wakati hospitali imeshindikana umesha waona Ma-

Daktari na bado hujapona matatizo yako ndio unakuja hapa kueleza shida yako na umefikia wapi kwenye hayo matatizo yako sio kuja moja kwa moja kueleza shida yako wakjati hospitali zipo bravo mkuu gody wape ushauri wako mzuri sana.
 
Umeshahi kufanya matusi bila condom? if yes, lini?

Kwa umri wako mara nyingi tatizo kama hilo husababishwa na infections. Unatakiwa kwenda kwenye hospitali ambayo wataweza kufanya microbiology analysis ya mkojo wako na specimen ya kutoka kwende urethra. Hapo wanaweza kuona kama kuna vijidudu vilivyosababisha na kujua dawa yenye uwezo wa kujingamiza.

Kwa kipindi hiki inabidi uhaihirishe kufanya matusi mpaka utakapojua sababu ya uginjwa wako. Vilevile kunywa maji mengi, yasipungue lita mbili kwa siku.

Mkuu ZeMarcopolo,kuhusu tendo la ndoa(kufanya matusi??) sijawahi kushiriki kabisa,kwa hiyo sioni possibility yoyote ya STI's.
Nitafanyia kazi ushauri wa kunywa maji mengi,na as soon as possible nitakwenda Hospital kucheck.
 
Last edited by a moderator:
Chukua na hii ambapo MziziMkavu alimshaur mtu wa aina yako

Mkuu. kabla hujaja hapa kupata ushauri ilikuwa bora uende Hospitali kumuona Daktari ili apate kukuangalia hayo matatzo kuliko kuja hapa na kueleza matatizo yako wakati hujafika hata hospitali kumuona Daktari.Kamuone Daktari akikupa dawa bado hujapona ndio uje hapa kuleta matatizo yako na utaweza kupata ushauri wetu itakuwa jambo bora zaidi mkuu kufanya hivyo.[/B]
 
Last edited by a moderator:
Chukua na hii ambapo MziziMkavu alimshaur mtu wa aina yako

Mkuu. kabla hujaja hapa kupata ushauri ilikuwa bora uende Hospitali kumuona Daktari ili apate kukuangalia hayo matatzo kuliko kuja hapa na kueleza matatizo yako wakati hujafika hata hospitali kumuona Daktari.Kamuone Daktari akikupa dawa bado hujapona ndio uje hapa kuleta matatizo yako na utaweza kupata ushauri wetu itakuwa jambo bora zaidi mkuu kufanya hivyo.[/B]
 
Last edited by a moderator:
Mkuu.@gody sisi tunachowaambia watu humu ndani jambo la kwanza nenda kapime au nenda kamuone Daktari lakini utakuta mtu akiwa mgonjwa au akigomban na mke wake kidogo anakimbilia Jamii forums kueleza shida yake

wakati hospitali zipo na Ma-Daktari wapo wa kuwaeleza shida zako. hapa unakuja wakati hospitali imeshindikana umesha waona Ma-

Daktari na bado hujapona matatizo yako ndio unakuja hapa kueleza shida yako na umefikia wapi kwenye hayo matatizo yako sio kuja moja kwa moja kueleza shida yako wakjati hospitali zipo bravo mkuu gody wape ushauri wako mzuri sana.


haswaaa hilo ndilo linatakiwa hapa.
well said mkuu!!
 
Humu ifikie wakati tuanze kuambiana ukweli
hilo swala lako kweli la kuleta Jf dr.?
Nimeona sisi wanaume tuna tatzo kabsa
huwa na tunakaa na matatizo na kuyaleta jf mpaka tuambiwe tukawaone wataalamu?
Hivi swala dogo kama hili linahtaji elimu ya kujua hapa naumwa au laa!
Kwa nikamuone dr. Au vp?
Ninachojua mm nikuwa mtu umeenda kwa mtaalam kakwambia kuwa mf. Una UTI,Gono au syphil au hawaoni tatizo au umepewa dawa haujapona ndo unakuja huku kuomba altntve way ya kutatua tatzo lako!
Jiulize kuwa kati Jf na Dr ambaye utamueleza tatzo lako ukiwa naye karib na akachukua vipmo! yupi bora

Sawa sikatai kuwa hapa kuna ma dr. Tena wakubwa tu na hili jukwaa mimi naliheshimu sana coz naonaga watu wanaeleza matatzo yao na wanandikiwa dawa wanatumia na wanaleta feedback
kuna matatzo mengine tunaweshauriana tukapitsha kuwa una U.t.i tukakushauli kumywa maji mengi sjui uchanganye na limao. Kumbe unakansa ya kibofu sjui, una matatizo kwa figo au una kisono
ukawa unajichelewesha kwenda kuwah tatzo ! Wewe unafkiri hii imekaa sawa?

usije ukanifikilia vibaya au nakukashfu badala kukupa dawa
nini namaanisha angalia mfano huu!
Mimi ni mmoja kati ya watu kama ww nilikuwa naleta uzi kila mara kuhusu maswala ya uzazi leo nakuja na pre-mature ejacltn kesho nakuja na la sperm count, speed n.k
sasa kila siku wakina MziziMkavu hapa wananishauri na kunimbia nikatumie nini, wakati huo huo siku ya kushika ujazito ni ipi kwa mke wangu? Dawa napewa lkn tatzo halihish na ambiwa siku za mke wangu za hatar na kweli dalili naziona lkn hapat mimba
hatua nilioichuku ni wanaume wachache wanojitokeza kuona wataalamu nilienda kwa Dr. Kwa kupima Sperm test lkn nilifunguka sana kueleza matatzo yangu aliniambia ni kuwa niachane na Sperm test bali kipmo kinaitwa FBP(full Blood Picture) vipmo vkaonyesha kuwa cells za damu zipo chini mno yaani
Red blood cells- zipo chini sana chache
Wht blood cells na zenyewe hivyo hvyo
Platelte hizi ndo kabisa 30 wakat nomal ni kuanzia 150 kuendelea

kwa hiyo swala zima la uzazi kuanzia
sperm speed,count/volume na pre-matre ejaculatn hayawez kukaa sawa bila hizi cells!!!

sasa je nisingekwenda hosptl si ningekuwa kwa waganga au natafuta viagra farmacy au dawa za wamasai au namlalamikia mke wangu hazai???

chukua mfano huo kajifunze!!

Mkuu gody,nimekupata vema.
Nimepost hapa kwa sababu kadhaa:
1/Kujua iwapo hii hali ya kukojoa kwa pressure ndogo kiasi hiki ni tatizo kitaalamu,kwani apart from that,sisikii maumivu yoyote.
2/Kujua toka kwa watu ambao wamewahi ku experience hali hii,ili kuwa na hakika kama hali hii ni ya kawaida na inaisha yenyewe au kama nitahitaji medication.
Ahsante kwa ushauri,nitamwona daktari soon.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu gody,nimekupata vema.
Nimepost hapa kwa sababu kadhaa:
1/Kujua iwapo hii hali ya kukojoa kwa pressure ndogo kiasi hiki ni tatizo kitaalamu,kwani apart from that,sisikii maumivu yoyote.
2/Kujua toka kwa watu ambao ywamewahi ku experience hali hii,ili kuwa na hakika kama hali hii ni ya kawaida na inaisha yenyewe au kama nitahitaji medication.
Ahsante kwa ushauri,nitamwona daktari soon.



hapo namba 1
kwan sikuzote hali yako inapokuwa Nomal mkojo ulikuwa unatoka pressere ndogo?
Nakazia hapo hpo kwenye red
match na Title ya thread yako
af uniambie hili kama wewe mwenye hukujua/kuhis tatzo?

anyway yote kwa yote heri tu nenda hosptl na ulete feedback!!
 
Last edited by a moderator:
Mpaka mkojo unatoka kama matone bado tu upo hujakwenda hospital? Jali afya yako
 
Nisiku nyingi zimepita nilikuwa sijajiunga lakin leo nimepata bahati hii.Ukweli ni kwamba kama una matatzo yoyote ya kibofu cha mkojo naomba ufanye mawasiliano nami.matatizo ya kibofu cha mkojo yamegawanyika ktk sehemu kuu mbili kwa sasa.(1)Ni mkojo kutoka kidogokidogo hatimae kushindwa kutoka yaani unabana(PROSTATES ANLARGEMENT).(2)Ni mkojo kutoka mara kwa mara hatimae unakuwa unatoka mfululizo(PROSTATES ECONTINENCE).Kwa sasa matatzo haya yanasumbua watu wengi sana.Lakini mimi natibu tatzo hilo kwa 100%,iwe mkojo unatoka mfululizo,kidogo kidogo hata kama mgonjwa anacatheter(mpira)atapona kabisa dozi ni wiki nne unakuwa ukopoa kabisa.kwa mawasiliano zaidi ntafute kwa 0759217720.BY SHADRACK LUTOBECK toka mwanza
 
Back
Top Bottom