Mdenya blood
Member
- Apr 27, 2015
- 51
- 5
Jamani wakuu nisaidieni hili mbona ninapo omba vyuo kwenye CAS nikikifika sehemu ya profile wananiambia nimeshawahi kuomba vyuo inatakiwa nipeleke evidence zinazo thibitisha kuwa sijwahi kuomba vyuo.Ni kweli nilishwahi kuomba vyuo kwakutumia system hyo ya online(2012) but masuala ya kukosa ada na kuugua vilinifanya niache masomo,mwaka huu nikaona niombe tena but napata vikwazo,je ni evidence gani wanahitaji kwani niliwapigia tcu lakini hawakupokea cm