Msaada tiba ya Kisonono

Msaada tiba ya Kisonono

Rogwa

Member
Joined
Mar 28, 2015
Posts
29
Reaction score
18
Natumai mu wazima wa afya,

Kwa yeyote anayefahamu tiba ya kisonono anisaidie, nilikwenda hospital nikapewa dozi ya vidonge. Dozi ilikuwa ni metro siku 2,cpro siku 5 na doxn siku 7 lakini haikusaidia kitu.

Nimerudi hospital tena nikaandikiwa sindano moja kila wiki kwa wiki tatu pamoja na vidonge. Nimechoma sindano lakini bado nafuu haipatikani. Hivyo bas kwa yeyote anayejua dawa tafadhari naomba anielekeze.

Natanguliza shukurani zangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa upande wa mitishamba, mlonge unatibu kisonono vizuri kabisa!
Ngoja wajazia nyama waje!
 
Natumai mu wazima wa afya,
Kwa yeyote anayefahamu tiba ya kisonono anisaidie, nilikwenda hospital nikapewa dozi ya vidonge. Dozi ilikuwa ni metro siku 2,cpro siku 5 na doxn siku 7 lakini haikusaidia kitu. Nimerudi hospital tena nikaandikiwa sindano moja kila wiki kwa wiki tatu pamoja na vidonge. Nimechoma sindano lakini bado nafuu haipatikani. Hivyo bas kwa yeyote anayejua dawa tafadhari naomba anielekeze. Natanguliza shukurani zangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta hiyo dawa farmas ni nzuri sana ndani ya siku 7 utaleta mrejesho bei yake ni 13000 au 15000
1578128967232.jpeg


sent from toyota Allex
 
Nishaachana naye kwani sikuwahi kutana na mwanamke mwingine na siku tunakutana mara ya kwanza ilikuwa baada ya vipimo vyote kuwa sawa. Nimekutana naye kipindi hiki ndio nikakutana na kadhia hii nilipomshirikisha akaruka mita mia kwamba namsingizia. Sikutaka makuu nimechagua kuachana naye
Re-infection...utameza dawa zote ila still hautopona kama hujiepushi na ngono zembe pia humtibu mwenza wako..nendeni wote hospitali mkapatiwe tiba pamoja..stay safe...play smart.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama umeambiwa dozi ya sindano itakuwa week 3 bas uwe na subila utapona maana ugonjwa kuingia ni rahisi lakini kutoka inachukua muda
 
Back
Top Bottom