Msaada tiba ya Kisonono

Msaada tiba ya Kisonono

hiyo kitu matibabu yanaitaji kuchomwa sindano ambazo uchomaji wake zinauma sana ni nisindano nne ili upone vizuri kama ni sugu kama haijawa sugu tatu, haiponi mara moja inachukua muda baada ya kumaliza sindano
 
Asante mkuu kwa ufafanuzi wako, kwa maelezo ya Dr ni kuwa sindano hizo zinaitwa panaduu(sijui kama niko sahihi) kwa maelezo yako ndio hizi sindano nazochomwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu kwa ufafanuzi wako, kwa maelezo ya Dr ni kuwa sindano hizo zinaitwa panaduu(sijui kama niko sahihi) kwa maelezo yako ndio hizi sindano nazochomwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo kitu matibabu yanaitaji kuchomwa sindano ambazo uchomaji wake zinauma sana ni nisindano nne ili upone vizuri kama ni sugu kama haijawa sugu tatu, haiponi mara moja inachukua muda baada ya kumaliza sindano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu kwa ufafanuzi wako, kwa maelezo ya Dr ni kuwa sindano hizo zinaitwa panaduu(sijui kama niko sahihi) kwa maelezo yako ndio hizi sindano nazochomwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu.

Penaduu ni balaa gongwa 10cc (5cc each tako) zimenipitia kwenye syphilis

Ukimaliza sindano na hizo madawa za vidonge basi naamin itakua poa tu. Pia jaribu kitumia mlonge kama ulivyoshauriwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu kwa ufafanuzi wako, kwa maelezo ya Dr ni kuwa sindano hizo zinaitwa panaduu(sijui kama niko sahihi) kwa maelezo yako ndio hizi sindano nazochomwa?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Linaweza kuwa jina la kibiashara ila kwa ulivyo elezea naisi ni hiyo hiyo
 
Wakuu, nimeona nyuzi kadhaa zinaelezea tiba ya kisonono. Nimekuja kwenu baada ya kuwa nimechukua tiba kadhaa.

Sina dalili zozote za kuumwa, ila baada ya kugundua mpenzi wangu anao ugonjwa (alitibiwa ila tulishachana leo siku ya 68), nilifuatilia dalili na kuona urethral discharge. Hadi sasa bado ipo hiyo dalili pekee.

Nilianza na dozi ya Cyrpo, doxy, blufen na dawa zingine, sikupona. Mwezi wa 11 nikapoga PenaDo (pendaduu) wiki 4, nilikua nachomwa 10cc matako mawili each 5cc still kukawa na dalili. Nitaambiwa nimeze Fluconazol nikameza siku 10, hadi sasa wiki ya 2 baada ya dozi sijapona.

Kwa hapa nitumie dawa gani,

NB, NIMEACHA ZINAA TANGU TARH 5 OCTOBER HADI NIPONE.
Usipende kujitibu mitandaoni.
Nina mashaka kama unaijua kisononi na dalili zake.
Nenda hospitali nyingine ukatibiwe
 
Back
Top Bottom