walitola
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 4,796
- 5,553
Naomba niulize kitu kuna ugonjwa wa kuchubuka mapaja kati ya mapumbu na mapaja yaani mapaja yanakuwa kama yameungua na moto hivi alafu kunakuwa na kaarufu fulani hivi, najua humu ndani kuna maprofesa, madaktari, na wengine wengi.
Tafadhali naomba msaada wa tiba ya huu ugonjwa na hata ushauri wa sababu inayofanya utokee hasa huu ugonjwa.
Nawasilisha kwenu wakuu.
Tafadhali naomba msaada wa tiba ya huu ugonjwa na hata ushauri wa sababu inayofanya utokee hasa huu ugonjwa.
Nawasilisha kwenu wakuu.