Wisest man
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 993
- 332
Spinachi na juice ya karoti.
Mpeleke Hospitali ya Muhimbili kuna wataalam wazuri na wapo pia Waganga wa Tiba za asilia anaweza kupona inshallah........Mdogo wangu haoni mbali na matatizo hayo yalianza miaka 13 alipewa dawa za hospital za kuweka kwenye macho lakini wapi! akaenda ccbrt wakamcheki wakamwambia kuwa hana matatizo yanahitaji upasuaji, akashauriwa atumie miwani na awe anakula mbogamboga na matunda, lakini tatizo la kutosikia vizuri nalo likajitokeza sasa anatafuta tiba za vidonge asili, amekuwa na mashaka ya kutopona kwa sababu hata dawa za hospital hazikumsaida. je ataweza kupona kwa tiba asili na wapi pana tiba ya uhakika? na gharama yake je?
Mkuu Jamaa_Mbishi Hali yako?MziziMkavu njoo umpe huyu mwenzetu dozi zako za mizizi.
Mpeleke Hospitali ya Muhimbili kuna wataalam wazuri na wapo pia Waganga wa Tiba za asilia anaweza kupona inshallah........
Mkuu Jamaa_Mbishi Hali yako?
Mpeleke Hospitali ya Muhimbili kuna wataalam wazuri na wapo pia Waganga wa Tiba za asilia anaweza kupona inshallah........
Mkuu Jamaa_Mbishi Hali yako?
Kama alivyoshauriwa na Doctor apendelee kula sana matunda na mboga mboga na samaki kama ni mtoto mdogo macho yake yatarudi kuwa mazuri huenda pia ana upungufu wa Vitamin mwilini ndio maana nimempa ushauri aende Hospitali kuu ya muhimbili kuna Wataalam zaid wa masuala ya macho . kuliko kungojea hapa ushauri wa watu humu ndani.Mkuu hali yangu shwari tu, ulikuwa wapi waziri mteule? Jamaa hapo juu anahitaji msaada wako.
Sijachoka nimechoka na hizi kesi Mdogo wangu anaumwa na macho,shemaji yangu anaumwa ana tumbo, kakaMziziMkavu yaani umechoka kiasi cha kututuma muhimbili jamani?
Mzima lakini.
Mdogo wangu haoni mbali na matatizo hayo yalianza miaka 13 alipewa dawa za hospital za kuweka kwenye macho lakini wapi! akaenda ccbrt wakamcheki wakamwambia kuwa hana matatizo yanahitaji upasuaji, akashauriwa atumie miwani na awe anakula mbogamboga na matunda, lakini tatizo la kutosikia vizuri nalo likajitokeza sasa anatafuta tiba za vidonge asili, amekuwa na mashaka ya kutopona kwa sababu hata dawa za hospital hazikumsaida. je ataweza kupona kwa tiba asili na wapi pana tiba ya uhakika? na gharama yake je?
Mwambie huyo mdogo wako atumie vyakula hivi kila siku vitamsaidia kupona hayo Macho yake.Mdogo wangu haoni mbali na matatizo hayo yalianza miaka 13 alipewa dawa za hospital za kuweka kwenye macho lakini wapi! akaenda ccbrt wakamcheki wakamwambia kuwa hana matatizo yanahitaji upasuaji, akashauriwa atumie miwani na awe anakula mbogamboga na matunda, lakini tatizo la kutosikia vizuri nalo likajitokeza sasa anatafuta tiba za vidonge asili, amekuwa na mashaka ya kutopona kwa sababu hata dawa za hospital hazikumsaida. je ataweza kupona kwa tiba asili na wapi pana tiba ya uhakika? na gharama yake je?
Ushauri wangu...nenda hospitalDah! Tatizo kama langu ila sina uwezo wowote labda atokee mtu anisaidie sioni mbali SIKIO 1 alifanyi kazi ila napokea ushauri kwa yoyote nini nifanye nipate nafuu
Polee sanaDah! Tatizo kama langu ila sina uwezo wowote labda atokee mtu anisaidie sioni mbali SIKIO 1 alifanyi kazi ila napokea ushauri kwa yoyote nini nifanye nipate nafuu