Wisest man
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 993
- 332
Mdogo wangu haoni mbali na matatizo hayo yalianza miaka 13 alipewa dawa za hospital za kuweka kwenye macho lakini wapi! akaenda ccbrt wakamcheki wakamwambia kuwa hana matatizo yanahitaji upasuaji, akashauriwa atumie miwani na awe anakula mbogamboga na matunda, lakini tatizo la kutosikia vizuri nalo likajitokeza sasa anatafuta tiba za vidonge asili, amekuwa na mashaka ya kutopona kwa sababu hata dawa za hospital hazikumsaida. je ataweza kupona kwa tiba asili na wapi pana tiba ya uhakika? na gharama yake je?