Msaada tiketi ya basi inaweza kua ushahidi mahakani

Ambavyo huwa yeye anayeleta Hoja ni Lazima athibitishe.... HE WHO ALLEGES MUST PROVE

wewe unayesema hukuwepo thibitisha kama kweli hukuwepo,
Unaweza kuthibitisha kwa kutoa ticket ya basi na Unaweza kwenda mbali Zaidi kupata orodha ya wasafiri ya siku husika kutoka Kwa wasafirishaji
 
Samahani wakuu, wakati Najibu sikuwa nimesoma mchango namba today 9
 
Aisee nimependa hili Swali.

Tunajua kesi ya kutishia kuua inakuwa ya jinai,lakini please calm down and try to keep your mouth shut. Usije ukaanza kubwabwaja ovyo Haya unayoambiwa,we tulia Fanya uchunguzi wako na taratibu jaribu kuangalia nani ataweza kukusaidia Hata kama hapa jf mfuate pm muelezee A to Z yako Ili ajue anakusaidia vipi.
This is only if you don't do so,isijekuwa vice versa.

Mungu akusimamie dhuluma na husda visikukumbe. Ukishinda kesi wadai fidia[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Wastage of time. Usiwaulize hilo swali maana utakuwa katika disadvantage. Ukiuliza swali hilo kisha mtu akajibu anakujua maana aliwahi kukukuta ukigombana na mtu ama ukipigana na mtu utajiweka pabaya hata kama anakusingizia. Utaonekana una asili ya ukorofi na ugomvi hivyo kuku link na tukio la kutishia kwa panga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je kama nikiuliza ni kitu gan kilimnusuru nisitekeleze azma ya kumkata ni sawa?? Pia nikimuuliza shahid kuwa alichukua hatua gan baada ya kuona haya yote nitakuwa sawa ??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati wa kujitetea ndio useme hukuwapo. Achana na kusema hukuwapo kabla haijafika zamu yako ya kujitetea. Watauhujumu utetezi wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu Malyenge, kutoa defence ya kutokuwepo inaitwa ALIBI kanuni zinataka ukitaka kutoa defence hii lazma utoe taarifa (notice) kuwa uta_rise a defence of alibi (km ilivyo kwny P.O) cannot be raised by surprise. So ni sahihi kutoa taarifa kabla.
 
Inanikumbusha kesi ya Kamando Chisima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…