Msaada: Tofauti na Bugando ni hospitali ipi nzuri kwa ajili ya matibabu ya sikio mkoani Mwanza?

Kwani hapo bugando umekosa nini?
Utaenda hospitali mbalimbali lakm specialist wao wooote watakurefer bugando maana huko ndo wako na vipimo vya uhakika.
Cha muhim ungeulizia specialist wa masikio ni nani ili upate details zake.
ENT haina watu wengi aisee so wanapatikana kwa tochi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…