Nami nimeshangaa, pm ya ni nini kwenye vitu kama hivyo
Service ya oil haifanywi kwa kuangalia muda bali ni km ngapi umetembea. Wengine hata mwaka unakata hawajabadili oilDuuh Mkuu karibu miezi 10 umekaa nainakataa ila kufanya service.
Wewe badala ya kumsaidia mwenzako gari yake ipate kuwa sawa unataka akuuzie, angetaka kuliuza si angetangaza biasharaOk, lengo kubwa nilikuwa nataka huyu jamaa aniuzie hiyo gari ikiwa hivyo! Tatizo kama hilo linasababishwa na Nozeli hapo hauna ujaja badilisha nozeli tu mambo yatuwa safi , ugojwa wa Opa ni nozeli halafu safisha tank la mafuta mchezo umeisha.
Aisee pm!!!Na mm nilikuwa na opa ikanifaniyia hivyo ebu ni pm nikwambie kitu