BOFREE
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 1,048
- 1,424
wakuu nina gari yangu Toyota Sienta niliiacha silence ili betri ijichaji nikaona imezima gafla kuangalia mafuta yamo mengi tu kuwasha gari haiwaki nikabadili betrii mpyaa gari inabiga stata tu lakin injini aipokei kuwaka shida itakua nini maana hata gerage siwezi ipeleka maana haiwaki.