GeniSys101
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,229
- 1,465
Diagnosis unafanya bei gani chief nna rav4 nami inatembea km 8.4 kwa lita mwanzoni haikuwa hivyo nikuletee uitupie jicho..Namba yangu ni Hii 0621 221 606. Nashindwa kukuelekeza moja kwa moja sababu sijajua unatokea mjini au ubungo.
30,000/= tu mkuu.Diagnosis unafanya bei gani chief nna rav4 nami inatembea km 8.4 kwa lita mwanzoni haikuwa hivyo nikuletee uitupie jicho..
Ok ntakucheki sheikh wangu30,000/= tu mkuu.
Yangu pia huwa inanipa 9km/l plug zikiwa mpya, zikichoka inakuwa chini ya hapo.Kwa foleni za dar kwa gari Atomatic ya 1.8L kupata 10km/L to be fair ni changamoto mnooo.
Engine gani?Yangu pia huwa inanipa 9km/l plug zikiwa mpya, zikichoka inakuwa chini ya hapo.
Poa karibu mkuuOk ntakucheki sheikh wangu
Yangu pia huwa inanipa 9km/l plug zikiwa mpya, zikichoka inakuwa chini ya hapo.
Ila hio engine imetengenezwa kukupa economy ya 8km/l kwa mjini, highway ni 12km/l so ikiwa 7km/l its not that bad ila kunaweza kuwa na underlying issues kama bad plugs au dirty air cleaner!Okay si sawa.
Kwa mizunguko ya hapa mjini angalau ilibidi ifike 10Km per litre.
Kwa highway anhalau 12Km per litre.
Karibu tufanya Diagnosis turekebishe tatizo kama upo Dar.
Hivi mnapigaje hesabu mimi huangalia thamani yaani 10,000 naenda km36.sijui yamepanda au yameshuka.Okay si sawa.
Kwa mizunguko ya hapa mjini angalau ilibidi ifike 10Km per litre.
Kwa highway anhalau 12Km per litre.
Karibu tufanya Diagnosis turekebishe tatizo kama upo Dar.
ntumie no zko pmMagomeni Mwembechai Mkuu.
Kuna hesabu hapa utakuwa umechanganya,difference ya Urban na highway lazima iwe zaid ya 1kmMimi nilikuwa napata 9-11km/l nikiwa naenda safari nilikuwa nafika mpaka 12km/l nikiweka petrol treatment
1ZZ-FE ni kama hio ya Voltz tu, Plugs zikichoka ndio inanipa 7km/l au chini. Ila engine idle time kama kwenye foleni ndio inakula wese kuliko unavyoweza fikiri kama uko Dar ni maumivu tu.Engine gani?
Hivi mnapigaje hesabu mimi huangalia thamani yaani 10,000 naenda km36.sijui yamepanda au yameshuka.
Haya mtoa mada tueleze 10k unaenda km ngapi?
Ukiweka plug mpya inakuchukua muda gani mpaka kuanza kupata 7km per litre?1ZZ-FE ni kama hio ya Voltz tu, Plugs zikichoka ndio inanipa 7km/l au chini. Ila engine idle time kama kwenye foleni ndio inakula wese kuliko unavyoweza fikiri kama uko Dar ni maumivu tu.
Hi njia nzuri Sana,niliitumia safari ya mwisho (Arusha to Korogwe) nikaja kubaini Ile consumption ya trip za town inaathiriwa Sana na traffic.Inategemea na gari kuna gari zinakuonyesha kwenye dash board,kama haionyeshi jaza full tank then set trip kwenye dash board iwe ziro tembea km kadhaa then jaza full tank ujue ulitumia lita ngapi vs km ulizotembea utapata approx ratio amboyo sio exact inaweza kuzidi kidogo au kupingua kidogo sana.
Zinakaa hata mwaka hasa kama Top Cover Gasket hailikishi oil kwenye coils kule maana huwa inaendaga kuua plug pre-maturely!Ukiweka plug mpya inakuchukua muda gani mpaka kuanza kupata 7km per litre?
Yah mjini ni ngumu kujua average, saingine inakuwa 7km saingine 8km ila highway mi najua kabisa nikitia mafuta kiasi flani natusua.Hi njia nzuri Sana,niliitumia safari ya mwisho (Arusha to Korogwe) nikaja kubaini Ile consumption ya trip za town inaathiriwa Sana na traffic.
"Be Humble"
Inaelekea na mguu wako uko sensitive kwenye mafuta 🤣 🤣 🤣 Good.Zinakaa hata mwaka hasa kama Top Cover Gasket hailikishi oil kwenye coils kule maana huwa inaendaga kuua plug pre-maturely!
Tafta plug za Denso zinauzwa ghali kidogo ila ndio nzuri, mara ya mwisho mi niliweka nikaenda mbeya kwa mafuta ya 130K vizuri kabisa. Moshi to Dar nilishuka na Nusu Tank!
Yah kwenye takeoff huwa sina papara ndio maana napata economy nzuri.Inaelekea na mguu wako uko sensitive kwenye mafuta 🤣 🤣 🤣 Good.