Msaada: Trader mwenye simplified price action

Msaada: Trader mwenye simplified price action

MONEY 255

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2019
Posts
212
Reaction score
197
Kwa trader yoyote mwenye simplified price action msaada tafadhalini nahitaji kuiongeza kwenye confluence yangu.
 
Nipe usd 20 tu sio zaid maana ntakupa vitu ambazo utasema nimekuibia ila vipo accurate 95percent, usipopiga pesa basi utasave loss kubwa , zipo mbili moja unatumia Fibonacci na ingine candlestick
 
Hapana mkuu niko na kaknowledge ambako kwenye unew bie uwezi nihesabuu
Aah hapo sawa,kwahyo ulikua unahitaji simplified Price action uongeze kwenye confluence zako

Kwa sasa unatumia strategy gani na confluence gan unatumia kupata entry
 
Nipe usd 20 tu sio zaid maana ntakupa vitu ambazo utasema nimekuibia ila vipo accurate 95percent, usipopiga pesa basi utasave loss kubwa , zipo mbili moja unatumia Fibonacci na ingine candlestick
Haha umenikumbusha mbali sana.
Kuna mkenya alikuwa anapenda kutumia robot pamoja na fibonacci siku moja alipigwa akakimbia nchi🤣🤣🤣ni miaka 6 sasa tangu itokee
 
Mtazamo wangu.
The first thing you need to know ni candlesticks zenyewe af ndo uingie kwenye price action.
Coz ukizijua utaona kbsa znavoingia kwenye price action.
Kuna kitabu cha candlesticks peke yake n kizuri sana maana kinaanzia mbali kbsa kwenye history ya kila candlestick.
Changamoto yake ni cha zamani kidogo so examples zao hua wanatumia stock market instead of currencies. Na kina mifano mingi sana.
Ukikisoma unaona kbsa kwanini candle flani iko ilivo na what happens ikikarbia kutokea na after kutokea nin kinafata na ziko mbalimbali.
After hapo its easy kumaster price action strategies.
Kwa indicators, mostly ni lagging lakini fibonacci ndo most time inakua accurate na haina kelele mingi.
 
Aah hapo sawa,kwahyo ulikua unahitaji simplified Price action uongeze kwenye confluence zako

Kwa sasa unatumia strategy gani na confluence gan unatumia kupata entry
Kwa Sasa natumia smart money concept pamoja na supply and demand
 
Mtazamo wangu.
The first thing you need to know ni candlesticks zenyewe af ndo uingie kwenye price action.
Coz ukizijua utaona kbsa znavoingia kwenye price action.
Kuna kitabu cha candlesticks peke yake n kizuri sana maana kinaanzia mbali kbsa kwenye history ya kila candlestick.
Changamoto yake ni cha zamani kidogo so examples zao hua wanatumia stock market instead of currencies. Na kina mifano mingi sana.
Ukikisoma unaona kbsa kwanini candle flani iko ilivo na what happens ikikarbia kutokea na after kutokea nin kinafata na ziko mbalimbali.
After hapo its easy kumaster price action strategies.
Kwa indicators, mostly ni lagging lakini fibonacci ndo most time inakua accurate na haina kelele mingi.
Asante kwa ushaurii
 
Kwa Sasa natumia smart money concept pamoja na support and resistance
Ungeongezea kutumia demand and supply instead ya support n resistance, most time hua inatoa breathing room ya stop loss kutokua triggered.
Lakn S & R ni poa zaidi kama unaeka stop loss yenye pips nyingi.
 
Ungeongezea kutumia demand and supply instead ya support n resistance, most time hua inatoa breathing room ya stop loss kutokua triggered.
Lakn S & R ni poa zaidi kama unaeka stop loss yenye pips nyingi.
Sorry nilijichanganya ni supply and demand
 
Screenshot_20221120-160545.jpg

Mfano hai wa analysis yangu
 
Nipe usd 20 tu sio zaid maana ntakupa vitu ambazo utasema nimekuibia ila vipo accurate 95percent, usipopiga pesa basi utasave loss kubwa , zipo mbili moja unatumia Fibonacci na ingine candlestick
Hapa ndo Huwa nashindwa kuelewa. Yaani una strategy nzuri, inayoweza kukupa hela 95% ya kila unapotrade, lakini bado unavizia elfu hamsini ya mwenzako anayestruggle. Utasema wewe mwenyewe labda uliinunua, sawa, lakini si ilishakulipa? Kama uliinunua na haijakulipa basi ni famba, utakuwa unatafuta wa kushare nae machungu
 
Haha umenikumbusha mbali sana.
Kuna mkenya alikuwa anapenda kutumia robot pamoja na fibonacci siku moja alipigwa akakimbia nchi🤣🤣🤣ni miaka 6 sasa tangu itokee
Hahaha sio mchezoo
 
Hapa ndo Huwa nashindwa kuelewa. Yaani una strategy nzuri, inayoweza kukupa hela 95% ya kila unapotrade, lakini bado unavizia elfu hamsini ya mwenzako anayestruggle. Utasema wewe mwenyewe labda uliinunua, sawa, lakini si ilishakulipa? Kama uliinunua na haijakulipa basi ni famba, utakuwa unatafuta wa kushare nae machungu
Amna kaka usimdhanie mtu vby...kwenye swala la uchumi Kila mtu Huwa ana falsafa yake...uwezi jua ndomana wakina Bhakresa wanauza ukwaju 500/= japo ni mabillionare
 
Back
Top Bottom