Je walioshindwa kiendelea na shule serikali tu?
Kama ndio:
*Chukua idadi ya wanafunzi waliofanya mtihani toa na waliofaulu au chukua takwimu walioripoti mwaka huu ndio walioendelea waliobaki hawajaendelea.
Kama sio.
Unatakiwa uwasiliane na TAMISEMI au NBS watakupa kila utakacho.wadau wataongezea na kukupa muongozo.
Naomba kuwasilisha.