Msaada Tutani ..Naomba Mnishauri

Atakukula na akimaliza cm mkononi😀
Na wewe shika simu yako.....afu badilisha pw asiijue.....akiwa busy na simu yake na kuwa busy na yako......nakuapia haumalizi mwezi ataweka kikao cha muongozo wa matumizi ya simu, anafanya kusudi kwa sababu anajua unaumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…