Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,208
- 2,767
huyo yupo kama mimi, kwa ufupi hatupendi usumbufu kabsaPoleee mi wangu mdaa woote yupo busy na cm 24/7 ndoa bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo yupo kama mimi, kwa ufupi hatupendi usumbufu kabsaPoleee mi wangu mdaa woote yupo busy na cm 24/7 ndoa bwana
Na hapo ndio kiini cha tatizo.Nina kipato Kizuri kabisa cha kuweza kujikim
Mmh!….play the victim..
Pole sana. Tafuta muda uongee naye kuhusu hiyo tabia. Ikishindikana, get out while you still can.
Tunavumiliana kwenye maradhi na umasikini tu boss, sio tabia mbovu mbovu.Mmh!
Huu ushauri ! Kwa nini asivumilie
Km huna zaidi ya Mtoto 1, njoo PM tuyajenge, kashakuchoka huyo namin mimiHabari , Hope mko poa
Twende directly kwenye Mada. Hivi wanawake Especially Mlioolewa Mnaweza Vipi Kuishi na Mwanaume anayependa Kununa nuna ?
Binafsi Nimechoka sasa Mume wangu ni ile aina ya watu awe amefanya Kosa yeye au nimekosea mimi yeye solution ni Kununa. Au hii ni kawaida Kwa wanaume wote ?
Mimi Jukumu langu kila Kukiwa na ugomvi/ matatizo baina yetu Mimi Ndio huanza kutaka Yaishe Hata Kama yeye Ndio amenikosea . Kuna siku Nilikuta Condom zilizotumika kwenye gari nikamuuliza akasema et alimuazima gari Rafiki ake atumie so yeye hajui chochote . Nilipotaka maelezo ya kina maana Naona ananidanganya Et akaninunia Kwa Kua simuamini. Hiyo ni Sawa kweli ?
Kiukweli Nishamchoka Sanaa,kwanza sio muaminifu, Pili Ana play victim akati makosa ni yake anataka yeye Ndio ambembelezwe Kwa makosa yake . Niishi nae vp sasa Maana Nimechoka Mno .
Acha kukaa kiboya wewe....sasa na wee sii ukapate mwanaume mwengine ugegedane nae. Yeye anagheda mpaka anasahau condom kwa gari aisee kakudharau.Habari , Hope mko poa
Twende directly kwenye Mada. Hivi wanawake Especially Mlioolewa Mnaweza Vipi Kuishi na Mwanaume anayependa Kununa nuna ?
Binafsi Nimechoka sasa Mume wangu ni ile aina ya watu awe amefanya Kosa yeye au nimekosea mimi yeye solution ni Kununa. Au hii ni kawaida Kwa wanaume wote ?
Mimi Jukumu langu kila Kukiwa na ugomvi/ matatizo baina yetu Mimi Ndio huanza kutaka Yaishe Hata Kama yeye Ndio amenikosea . Kuna siku Nilikuta Condom zilizotumika kwenye gari nikamuuliza akasema et alimuazima gari Rafiki ake atumie so yeye hajui chochote . Nilipotaka maelezo ya kina maana Naona ananidanganya Et akaninunia Kwa Kua simuamini. Hiyo ni Sawa kweli ?
Kiukweli Nishamchoka Sanaa,kwanza sio muaminifu, Pili Ana play victim akati makosa ni yake anataka yeye Ndio ambembelezwe Kwa makosa yake . Niishi nae vp sasa Maana Nimechoka Mno .
Kabisa kashamchoka sio uwongoKm huna zaidi ya Mtoto 1, njoo PM tuyajenge, kashakuchoka huyo namin mimi
Akinywa pombe shidaPoleee mi wangu mdaa woote yupo busy na cm 24/7 ndoa bwana
Si utafute burudani nje na wewe !Dah hii mikasa kumbe sio mimi peke yangu,sina hata cha kukushauri mi pia mhanga
Uko sahihi mno. Hata kama una mke, ukiona ana tabia ya kununa bila sababu, piga chini. Maisha yalivyo magumu sasa hivi, nyumbani ni sehemu ya mwisho mtu utakayotaka iwe na stress.Piga chini huyo akanunie wazazi wake huko kwao.
Kuwa bussy na simu ni tatizo la ndoa nyingi sasa hivi. Na ukishaona mwenza wako yuko bussy na simu muda wote ujue kuna kitu. Nlikuwa na mwanamke wangu akilikuwa anapata simu muda wote utadhani ni customer care wa Voda. Mpaka inakera. Na meseji ndiyo kabisa. Hayo ma-group ya Whatsup....Poleee mi wangu mdaa woote yupo busy na cm 24/7 ndoa bwana
Mimi naishi nae na amenyooka......dawa ni kumpotezea, yani ni no reaction.....kuna siku alisusa chakula akajua nitaumia, nilichofanya ni kwenda kuongeza nyama nikala chakula chote🤣🤣🤣 anajua alivyopambana na njaa ya usiku.Ngumu sana kuishi na narcissist