Msaada tutani: nimepata mtaji wa 25mn

Msaada tutani: nimepata mtaji wa 25mn

Makanyagio

Senior Member
Joined
Jun 25, 2009
Posts
125
Reaction score
30
Wadau kuna mtu wangu kanipa tafu ya 25mn, ni biashara gani naweza kuanzisha ikanilipa nisizame?
 
tu cha kwanza katika maisha yako ya biashara ambacho naweza kukushauri ni kuepuka kufanya biashara kwa maono ya mtu mwingine.

Business ni 50% vision, 30% enthusiasm na 20% capita. Then you apply hard work

Labda kwa ushauri, jaribu kutembea kwanza. Don't be in a hurry. Nchi yetu ni kubwa na opportunities ni nyingi lkn sidhani kama kuna mtu mwenye miujiza ya kukufanya uwe mfanyabiashara ilhali you don't have that millionaire mindset.

Kama upo DAR, tembea kidogo mikoani kwenye shughuli za watu. Usione shida kutumia milioni moja kupata jibu la swali ambalo zawadi yake ni milioni 60. Biashara zipo mkuu
 
Inaonekana huna hata lepe la nn cha kufanya hahhaah fanya upendacho ndio utafanikiwa

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Kula burgers na mapiza kwanza ndo mambo mengine yaje.
 
tu cha kwanza katika maisha yako ya biashara ambacho naweza kukushauri ni kuepuka kufanya biashara kwa maono ya mtu mwingine.

Business ni 50% vision, 30% enthusiasm na 20% capita. Then you apply hard work

Labda kwa ushauri, jaribu kutembea kwanza. Don't be in a hurry. Nchi yetu ni kubwa na opportunities ni nyingi lkn sidhani kama kuna mtu mwenye miujiza ya kukufanya uwe mfanyabiashara ilhali you don't have that millionaire mindset.

Kama upo DAR, tembea kidogo mikoani kwenye shughuli za watu. Usione shida kutumia milioni moja kupata jibu la swali ambalo zawadi yake ni milioni 60. Biashara zipo mkuu

Kwa niaba yake nakushukuru sana kwa ushauri mzuri. Je una cha zaidi ambacho waweza kumshauri yeye na sisi wengine?
Je humshauri asajiri kanpuni limited kwa kutumia ntaji huo?
 
tu cha kwanza katika maisha yako ya biashara ambacho naweza kukushauri ni kuepuka kufanya biashara kwa maono ya mtu mwingine.

Business ni 50% vision, 30% enthusiasm na 20% capita. Then you apply hard work

Labda kwa ushauri, jaribu kutembea kwanza. Don't be in a hurry. Nchi yetu ni kubwa na opportunities ni nyingi lkn sidhani kama kuna mtu mwenye miujiza ya kukufanya uwe mfanyabiashara ilhali you don't have that millionaire mindset.

Kama upo DAR, tembea kidogo mikoani kwenye shughuli za watu. Usione shida kutumia milioni moja kupata jibu la swali ambalo zawadi yake ni milioni 60. Biashara zipo mkuu



Asante kwa ushauri mwema, nitayafanyia kazi haya
 
dah ningekuwa ww ningetafuta sehemu nzuri afu nikafungua stationary yenye kila k2,
 
tu cha kwanza katika maisha yako ya biashara ambacho naweza kukushauri ni kuepuka kufanya biashara kwa maono ya mtu mwingine.

Business ni 50% vision, 30% enthusiasm na 20% capita. Then you apply hard work

Labda kwa ushauri, jaribu kutembea kwanza. Don't be in a hurry. Nchi yetu ni kubwa na opportunities ni nyingi lkn sidhani kama kuna mtu mwenye miujiza ya kukufanya uwe mfanyabiashara ilhali you don't have that millionaire mindset.

Kama upo DAR, tembea kidogo mikoani kwenye shughuli za watu. Usione shida kutumia milioni moja kupata jibu la swali ambalo zawadi yake ni milioni 60. Biashara zipo mkuu

nimekuwa addict na coment zako
 
tu cha kwanza katika maisha yako ya biashara ambacho naweza kukushauri ni kuepuka kufanya biashara kwa maono ya mtu mwingine.

Business ni 50% vision, 30% enthusiasm na 20% capita. Then you apply hard work

Labda kwa ushauri, jaribu kutembea kwanza. Don't be in a hurry. Nchi yetu ni kubwa na opportunities ni nyingi lkn sidhani kama kuna mtu mwenye miujiza ya kukufanya uwe mfanyabiashara ilhali you don't have that millionaire mindset.

Kama upo DAR, tembea kidogo mikoani kwenye shughuli za watu. Usione shida kutumia milioni moja kupata jibu la swali ambalo zawadi yake ni milioni 60. Biashara zipo mkuu

michango yako huwa very useful....umenipa mwanga fulani
 
Wewe kama wewe unajiskia kufanya nin?Ukipata jbu,na ukaamini unaweza kufanya jst do it.Ukiona vp njoo kwetu huku nunua bonge la nyumba ya kupangisha,guest,nunua mazao,Mashamba ya kukodisha n.k.baada ya hapo utakuwa na zaidi ya izo.Bt ukijichanganya utakuja kulia machozi ya damu..Omba Mungu akuongoze kufanya unayotaka kufanya.
 
tu cha kwanza katika maisha yako ya biashara ambacho naweza kukushauri ni kuepuka kufanya biashara kwa maono ya mtu mwingine.

Business ni 50% vision, 30% enthusiasm na 20% capita. Then you apply hard work

Labda kwa ushauri, jaribu kutembea kwanza. Don't be in a hurry. Nchi yetu ni kubwa na opportunities ni nyingi lkn sidhani kama kuna mtu mwenye miujiza ya kukufanya uwe mfanyabiashara ilhali you don't have that millionaire mindset.

Kama upo DAR, tembea kidogo mikoani kwenye shughuli za watu. Usione shida kutumia milioni moja kupata jibu la swali ambalo zawadi yake ni milioni 60. Biashara zipo mkuu

Akili ndiyo hii. Ningekuwa mm ningemtafuta huyu Mwana Mtoka Pabaya kwa ushauri zaidi. Mwombe uonane naye akupe mwanga zaidi.
 
Fungua Danguro tu lina lipa sana wateja kama wakina nchembe lazima uwadake!
 
Wadau kuna mtu wangu kanipa tafu ya 25mn, ni biashara gani naweza kuanzisha ikanilipa nisizame?

Kuna watumishi wengi sana wa serikali ambao awana uwezi wa kununua laptop au hata hizi desktop computer hasa kwa walimu jaribu kutembelea baadhi ya shule na uingue mikataba na walimu wanao taka kukopa laptop au dekstop computer wape mashariti ya kukopa kama unauza laptop milion moja wambie kwa kukopesha utauza milioni na laki mbili alafu alafu wazilipe hizo pesa kwa vipindi vitatu downpayment iwe ni ghalama ya bei uliyo chukulia mzigo alafu usubirie faida tu kwa sababu ukitaka kufanya biashara ya computer utapata faida sana kwa sababu unaweza chukulia laptop moja bei ya jumla kama laki saba na ww unakwenda kuuza milion na laki mbili kwa kukopesha uoni unafaida nzuri sanaa, kwa hyo kama ukipata kwa bei nzuri zaidi tena mpya hakika utajipatia faida sana na uzoefu na hilo kwa sababu nilifanikiwa kufanya biashara ya desktop kwa walimu hapa dar yani kila mwezi nilikuwa naingiziwa pesa, na ukifanikiwa kupata wateja wako kama 50 na kwa mtaji wako wa milion 25 utapiga sana pesa kwa msaada zaidi tuwasiliane nikupe mwanga zaidi
 
Fanya research ya nguvu kabla ya kuingia kwenye biashara yoyote...ujue unataka nini kwanza ndio uanze biashara. Bussiness is passion...jipange tu kwa reseach kwanza
 
Kwa niaba yake nakushukuru sana kwa ushauri mzuri. Je una cha zaidi ambacho waweza kumshauri yeye na sisi wengine?
Je humshauri asajiri kanpuni limited kwa kutumia ntaji huo?

ltd co! What for? Kama hana wazo la biashara anafungua kampuni ili naye awe na kampuni au ili hiyo kampuni ifanye biashara fulani? Kabla ya kufungua kampuni lazima uwe na wazo la biashara,kwani kampuni ni aina ya ufanyaji wa biashara na sio biashara. Kwa kifupi ndugu fanya kitu kinaitwa "swot analysis" juu ya biashara unayotaka kuifanya liwe ni wazo lako au umepata hapa jf ili uweze kufanya kitu cha kueleweka.
 
Bwana ZAMLOCK, unaweza kunipa mwangaza kidogo wa sehemu ya kueleweka, ninapo weza kupata Laptops na Desktops za jumla na kwa bei nafuu?
 
Fungua stationary katika strategic area. Inalipa sana.
 
Back
Top Bottom