Makanyagio
Senior Member
- Jun 25, 2009
- 125
- 30
Wadau kuna mtu wangu kanipa tafu ya 25mn, ni biashara gani naweza kuanzisha ikanilipa nisizame?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tu cha kwanza katika maisha yako ya biashara ambacho naweza kukushauri ni kuepuka kufanya biashara kwa maono ya mtu mwingine.
Business ni 50% vision, 30% enthusiasm na 20% capita. Then you apply hard work
Labda kwa ushauri, jaribu kutembea kwanza. Don't be in a hurry. Nchi yetu ni kubwa na opportunities ni nyingi lkn sidhani kama kuna mtu mwenye miujiza ya kukufanya uwe mfanyabiashara ilhali you don't have that millionaire mindset.
Kama upo DAR, tembea kidogo mikoani kwenye shughuli za watu. Usione shida kutumia milioni moja kupata jibu la swali ambalo zawadi yake ni milioni 60. Biashara zipo mkuu
tu cha kwanza katika maisha yako ya biashara ambacho naweza kukushauri ni kuepuka kufanya biashara kwa maono ya mtu mwingine.
Business ni 50% vision, 30% enthusiasm na 20% capita. Then you apply hard work
Labda kwa ushauri, jaribu kutembea kwanza. Don't be in a hurry. Nchi yetu ni kubwa na opportunities ni nyingi lkn sidhani kama kuna mtu mwenye miujiza ya kukufanya uwe mfanyabiashara ilhali you don't have that millionaire mindset.
Kama upo DAR, tembea kidogo mikoani kwenye shughuli za watu. Usione shida kutumia milioni moja kupata jibu la swali ambalo zawadi yake ni milioni 60. Biashara zipo mkuu
tu cha kwanza katika maisha yako ya biashara ambacho naweza kukushauri ni kuepuka kufanya biashara kwa maono ya mtu mwingine.
Business ni 50% vision, 30% enthusiasm na 20% capita. Then you apply hard work
Labda kwa ushauri, jaribu kutembea kwanza. Don't be in a hurry. Nchi yetu ni kubwa na opportunities ni nyingi lkn sidhani kama kuna mtu mwenye miujiza ya kukufanya uwe mfanyabiashara ilhali you don't have that millionaire mindset.
Kama upo DAR, tembea kidogo mikoani kwenye shughuli za watu. Usione shida kutumia milioni moja kupata jibu la swali ambalo zawadi yake ni milioni 60. Biashara zipo mkuu
tu cha kwanza katika maisha yako ya biashara ambacho naweza kukushauri ni kuepuka kufanya biashara kwa maono ya mtu mwingine.
Business ni 50% vision, 30% enthusiasm na 20% capita. Then you apply hard work
Labda kwa ushauri, jaribu kutembea kwanza. Don't be in a hurry. Nchi yetu ni kubwa na opportunities ni nyingi lkn sidhani kama kuna mtu mwenye miujiza ya kukufanya uwe mfanyabiashara ilhali you don't have that millionaire mindset.
Kama upo DAR, tembea kidogo mikoani kwenye shughuli za watu. Usione shida kutumia milioni moja kupata jibu la swali ambalo zawadi yake ni milioni 60. Biashara zipo mkuu
tu cha kwanza katika maisha yako ya biashara ambacho naweza kukushauri ni kuepuka kufanya biashara kwa maono ya mtu mwingine.
Business ni 50% vision, 30% enthusiasm na 20% capita. Then you apply hard work
Labda kwa ushauri, jaribu kutembea kwanza. Don't be in a hurry. Nchi yetu ni kubwa na opportunities ni nyingi lkn sidhani kama kuna mtu mwenye miujiza ya kukufanya uwe mfanyabiashara ilhali you don't have that millionaire mindset.
Kama upo DAR, tembea kidogo mikoani kwenye shughuli za watu. Usione shida kutumia milioni moja kupata jibu la swali ambalo zawadi yake ni milioni 60. Biashara zipo mkuu
Wadau kuna mtu wangu kanipa tafu ya 25mn, ni biashara gani naweza kuanzisha ikanilipa nisizame?
Kwa niaba yake nakushukuru sana kwa ushauri mzuri. Je una cha zaidi ambacho waweza kumshauri yeye na sisi wengine?
Je humshauri asajiri kanpuni limited kwa kutumia ntaji huo?