Msaada tutani, ninanuka

kama utaweza lakini nyo kabisa safisha vizuri alfu chukua limau kata kila utokapo kuoga usipake mafuta bali paka maji limai kuzunguka k nzima kuwa makini maji yasiingie maana waweza pata muasho fanya kwa siku 5 then waweza tumia ni hiyo nanasi ila kwa siku tano izo angalia matokeo then leta jibu na pia inatibu fangasi wa aina zote
 
mbooor ndo zinazoharibu papuchi kama hutoombwi huwezi kuwa na shida yoyote huo ndo ukweli dawa ya papuchi safi,mnato ni kuachana na wanaume ahakuna lingine .mimi ni shahidi
Washauri na wale wakenya waliopo ofisini kwenu.


Wazee Wa flying toilet
 
Nani anasema nyuchi inasumu?? Nijuavyo mimi kuna mkojo na acid...

Mtindi wa super market it helps mahondaw wangu...
Hapo unaongelea PH scale , tambua kwenye papuchi kuna bacteria wanaopalinda , sasa wakibugudhiwa ndio inaanza biashara ya kutoa harufu (bando linakata a.k.a, linachacha) kutumia mtindi ni njia mojawapo ya kuweka wale bacteria katika hali Yake ya kawaida. Pia haishauriwi kutumia sabuni Kali maeneo hayo. Nanasi ni moja ya dawa nzuri kuondoa UTI sugu katika njia ya mkojo. Hasa ukizingatia via vya uzazi Wa mwanamke vipo karibu na kibofu.
 


Sawa Kabisa...


cc: mahondaw
 
Kama mangi anao ule design ya super market, unafaa... siyo ule wa kuchachisha maziwa bila kuuwekea vionja vyovyote vile...



cc: mahondaw
Upo sahihi kwenye mtindi ila mzuri zaidi ni ule wenyewe original wa madukani ni wa unga,

Wadada msiwe wabishi ushauri mzuri huu kwa bwana Smart uzingatieni.

Maziwa mtindi ni dawa kuubwa ya kukata harufu na yale mafungus after period, tena kama tatizo lako ni sugu unaweza kunywa na mengine ukapaka kwenye pedi ukavaa, ndani ya siku mbili wewe ni mpyaaaaaa kabisa.

Pia Juice ya nanasi ni poa,
Zoea pia kula punje za vitunguu saumu,
Hilo tatizo wala si kubwa sana kama watu wanavyolikuza ila ukizembea ni la kudhalilisha kupita maelezo.

Good luck.
 

Thank you kwa ushauri wako mzuri... watajifunza kimya kimya...


cc: mahondaw
 
Hii ya kumeza punje za vitunguu saumu naikubali sana.
Ukijisikia unawashwa tu ukitumia vitunguu tatizo linaisha.
Hii ni mbadala badala ya kumeza dawa za hospitali mara kwa mara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…