Msaada Tutani Tafadhali!!

Msaada Tutani Tafadhali!!

Guus

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2013
Posts
1,139
Reaction score
842
Mwenzenu huwa namshikia kidedea kijana wangu awe anajisomea kipindi hiki wako nyumbani.

Sasa nimemuona leo kashika kitabu cha Kiingereza. Nilishakitazama hiki kitabu kina swali ambalo najua lazima atakuja kuniuliza, nami hakika sitoweza kulijibu.

Swali liko hivi "John went to school without shoes. Rewrite this sentence starting with a word 'shoes'"...Msaada jamani kabla hajanifuata.
 
Hahaa hiv unajua unaharibu uzi, na hauna hata jibu la swali alilouliza
He he! Baby usihofu hili ni jukwaa la jokes si twende na yetu my sweet girl wa huba ubani nyonga mkalia ini..
Mweka mada akichoka atatufukuza ila ajue hatapata jibu😅
 
He he! Baby usihofu hili ni jukwaa la jokes si twende na yetu my sweet girl wa huba ubani nyonga mkalia ini..
Mweka mada akichoka atatufukuza ila ajue hatapata jibu😅
😂😂😂😂 kwahyo unataka hadi tufukuzwe
Ila sio vzur kumfanyia mtu fujo nyumbani kwake
 
😂😂😂😂 kwahyo unataka hadi tufukuzwe
Ila sio vzur kumfanyia mtu fujo nyumbani kwake
Okay ngoja nijitahidi kujibu swali lake kisha tuendelee ila usicheke maana kidogo Hilo li lugha lilikuja kwa ndege!

Shoes stayed at home while john went to school peku.
 
Okay ngoja nijitahidi kujibu swali lake kisha tuendelee ila usicheke maana kidogo Hilo li lugha lilikuja kwa ndege!

Shoes stayed at home while john went to school peku.
Sasa babe hyo peku imeingiaje hapo jamani😂
 
Mwenzenu huwa namshikia kidedea kijana wangu awe anajisomea kipindi hiki wako nyumbani. Sasa nimemuona leo kashika kitabu cha Kiingereza. Nilishakitazama hiki kitabu kina swali ambalo najua lazima atakuja kuniuliza, nami hakika sitoweza kulijibu. Swali liko hivi "John went to school without shoes. Rewrite this sentence starting with a word 'shoes'"...Msaada jamani kabla hajanifuata.
Without Shoes, John went to school[emoji818]
 
Back
Top Bottom