yaah...inawezekana kua na group la damu tofauti na wazazi wake....ingekua mzazi mmoja ana A na mwingine ana AB apo isingewezekana kupata mtoto mwenye O au wazazi wenye B na AB hawawezi kupata mtoto mwenye O au wenye AB na AB hawawezi kupata mwenye O au wenye AB na O hawawezi kupata mtoto mwenye O.......nafkiri nshakujibu mkuu sasa kwa kukuongeza tu ni kwamba ili tuingie kwenye posibility ya kupata mtoto mwenye O inabidi tuwe na O na O,au B na O,au B na B,au A na O,au A na B ,au A na A.Naomba kuelimishwa kitu kimoja maana hali nitete kwa ndugu yangu na familia yake. Ni hivi wao wote wawili group lao la damu ni B+. Sasa mkewe amejifungua mtoto kapimwa damu Ana group O hii inawezekana mtoto kua blood group tofauti na wazazi wake au mama alimsaliti baba?