Msaada tutani wadau

Msaada tutani wadau

Jalema

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
594
Reaction score
868
Naomba kuelimishwa kitu kimoja maana hali nitete kwa ndugu yangu na familia yake. Ni hivi wao wote wawili group lao la damu ni B+. Sasa mkewe amejifungua mtoto kapimwa damu Ana group O hii inawezekana mtoto kua blood group tofauti na wazazi wake au mama alimsaliti baba?
 
mkuu inawezekana kabisa...

google hili swali nadhani utapata majibu mazuri mimi nashindwa kuelezea kwa kiswahili mana kuna terms za biology ambazo kiswahili chake ni ngumu kuelewa
 
hilo linawezekana kabisa èndapo wazazi wote ni heterozygous (BO and BO)

BO X BO= BB, BO, OO kwa hyo wazazi wanaweza kuoata mtoto mwenye group B homozygous (BB), B heterozygous (BO) au group O (OO) kwa hiyo hajaibiwa mtu hapo
 
Naomba kuelimishwa kitu kimoja maana hali nitete kwa ndugu yangu na familia yake. Ni hivi wao wote wawili group lao la damu ni B+. Sasa mkewe amejifungua mtoto kapimwa damu Ana group O hii inawezekana mtoto kua blood group tofauti na wazazi wake au mama alimsaliti baba?
yaah...inawezekana kua na group la damu tofauti na wazazi wake....ingekua mzazi mmoja ana A na mwingine ana AB apo isingewezekana kupata mtoto mwenye O au wazazi wenye B na AB hawawezi kupata mtoto mwenye O au wenye AB na AB hawawezi kupata mwenye O au wenye AB na O hawawezi kupata mtoto mwenye O.......nafkiri nshakujibu mkuu sasa kwa kukuongeza tu ni kwamba ili tuingie kwenye posibility ya kupata mtoto mwenye O inabidi tuwe na O na O,au B na O,au B na B,au A na O,au A na B ,au A na A.
 
Back
Top Bottom