Nampendamilele
Member
- Jun 12, 2024
- 34
- 45
Wakuu salama humu, moya kwa moya kwenye mada
Kuna manzi nilikuwa nae nilikuwa nikimpenda sana akaja niache kwasababu ambazo mpaka sasa hazielezeki, maana sikumfumania wala hakunifumania ni ugomvi ugomvi na wivu niliokuwa nae kwake
Huyu manzi ni mzurii kati ya mademu zangu wote niliokuwa Nao hata nilienae sasa. Na sasa ndio kazidi kuwa mzurii sana, nilikula mara 1 akanasa ujauzito ila Sielewii kama alitoa ama ulitoka.. tuligombana sana ukizingatia nilikuwa nahitaji mtoto nae na nilijua akinizalia tu anakuwa wangu daima hilo swala lilishindikana kwangu halina shida
Sasa wakuu huyu manzi hanaga msimamo sijui ni utoto ama laa ni sitaki nataka. Nime pambana sana mahusiano kurudi ila ugomvi hauishi.. sasa huu ni mwezi ni Kama penzi limekolea anainesha ushirikiano na nimeshakula mara ya pili katoto nimekakuta kapo kama hakajatumika, nimekesha nae siku 3 ndani tu mtoto mnato, mtamu zaidi ya mwanzo
Mimi huyu manzi nampenda na nataka awe wangu, sababu namfahamu hanaga mambo mengi au tabia mbaya mbaya sema ni msumbufu sumbufu tu,
Aaah shida moja nimeshaharibu huko nnje kuna ka binti kanadai kana mimba yangu hilo sina shida nae nitalea kama ni wangu ila nina wasiwasi na huyu manzi nilierudiana nae nikimwambia atanielewaje je ataniacha ama tutaendelea
Mwenye mimba yangu nilikuwa nae tu kwasababu niliachwa na huyu nikawa najipigia ila simkubali ni vile sikuwa na option
Sasa wakuu nipeni mbinu mlizotumia ku maintain situation kama hii
Kuna manzi nilikuwa nae nilikuwa nikimpenda sana akaja niache kwasababu ambazo mpaka sasa hazielezeki, maana sikumfumania wala hakunifumania ni ugomvi ugomvi na wivu niliokuwa nae kwake
Huyu manzi ni mzurii kati ya mademu zangu wote niliokuwa Nao hata nilienae sasa. Na sasa ndio kazidi kuwa mzurii sana, nilikula mara 1 akanasa ujauzito ila Sielewii kama alitoa ama ulitoka.. tuligombana sana ukizingatia nilikuwa nahitaji mtoto nae na nilijua akinizalia tu anakuwa wangu daima hilo swala lilishindikana kwangu halina shida
Sasa wakuu huyu manzi hanaga msimamo sijui ni utoto ama laa ni sitaki nataka. Nime pambana sana mahusiano kurudi ila ugomvi hauishi.. sasa huu ni mwezi ni Kama penzi limekolea anainesha ushirikiano na nimeshakula mara ya pili katoto nimekakuta kapo kama hakajatumika, nimekesha nae siku 3 ndani tu mtoto mnato, mtamu zaidi ya mwanzo
Mimi huyu manzi nampenda na nataka awe wangu, sababu namfahamu hanaga mambo mengi au tabia mbaya mbaya sema ni msumbufu sumbufu tu,
Aaah shida moja nimeshaharibu huko nnje kuna ka binti kanadai kana mimba yangu hilo sina shida nae nitalea kama ni wangu ila nina wasiwasi na huyu manzi nilierudiana nae nikimwambia atanielewaje je ataniacha ama tutaendelea
Mwenye mimba yangu nilikuwa nae tu kwasababu niliachwa na huyu nikawa najipigia ila simkubali ni vile sikuwa na option
Sasa wakuu nipeni mbinu mlizotumia ku maintain situation kama hii