Msaada Tutani........

Kwangu ilikuwa mgumu mkuu kufanya hivyo, ukizingatia nilikuwa namuamini. bei ya vifaa ilikuwa sawa ila kitu ambacho sikuhakikisha kama ndivyo vilikuwa vinahitajika. ila hilo ni tatizo dodgo kufahamu maana itabidi nimuombe anipe vifaa alivyotoa.
 
Huku niliko kufumuliwa marinda nikitu cha kawaida mkuu. hivyo hilo linaweza lisimtishe.
Kuwa mkali ni njia pekee ya kufanya utengenezewe gari au jamaa arudishe pesa... pesa ndefu sana hiyo mkuu wewe mteke hata muweke stoo ya mkaa siku 2 bila kula
 

Pole mkuu.

Ushauri wangu kwa ajili ya siku nyingine.Ukiwa na kazi yoyote ile usimlipe fundi hela yote hadi akukabidhi kazi iliyoisha.Hata akikuomba advance ukiweza umpe advance pungufu ya aliyokuomba.Mafundi wengi wakishachukua hela hawafanyi kazi.
 
Pole mkuu.

Ushauri wangu kwa ajili ya siku nyingine.Ukiwa na kazi yoyote ile usimlipe fundi hela yote hadi akukabidhi kazi iliyoisha.Hata akikuomba advance ukiweza umpe advance pungufu ya aliyokuomba.Mafundi wengi wakishachukua hela hawafanyi kazi.
nimejifunza kitu hapa
 
NDIO UJIFUNZE KUPELEKA GARI KARAKANA AMBAZO ZINAAMINIKA NA SIO HAWA FUNDI UCHWARA WA KUUNGA UNGA MTAANI

MCHUKULIE HATUA ZA KISHERIA NA FIDIA AKULIPE
 
NDIO UJIFUNZE KUPELEKA GARI KARAKANA AMBAZO ZINAAMINIKA NA SIO HAWA FUNDI UCHWARA WA KUUNGA UNGA MTAANI

MCHUKULIE HATUA ZA KISHERIA NA FIDIA AKULIPE
Nikisha wahi kuoeleka karakana moja tena ni dealer wa Toyota. Sitakaa nirudie tena.
Ameileta lakini baada ya kumfikisha police
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…