maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
Tafuta fundi mzuriWanaJF,
Poleni na majukumu.
Kama mada inavyosomeka kwenye kichwa cha habari TV ya Hisense imeacha kuonyesha picha na ninahisi kwamba kama bulb zake zimeungua.
Msaada tafadhali kwa mafundi waliopo kwenye group ili niweze kuitumia bila gharama kubwa.
Asante,
Maramojatu
Ngoja nitafuata huu ushauri nione. Asante sanaTafuta fundi mzuri
Hope matatizo yataisha muda si mrefu na utatafuta fundi airekebishe. Pole sanaMimi yangu imebutuka kama kamlipuko ikazima sijasumbuka nayo hata kujua shida nini nna matatizo mengi nimeona niiache mpaka ntakapokuwa sawa au ining'inie hapo forever
Yangu nahisi ni OG... Niliinunua Zenji na jamaa wakanihakikishia kuwa ni yenyeweOhh Hisense tena,,, hizo kwa sasa kuotea kupata og ni kwa mbinde,, mjini zimejaa feki na zinasumbua sana ninalo langu nimeliweka tu kwenye box nalo shida kioo ni ya inch 58 au 60 hivi
Tengeneza ucheki itatulia kwa muda gani,, ikizingua tena hio fekiYangu nahisi ni OG... Niliinunua Zenji na jamaa wakanihakikishia kuwa ni yenyewe
AsanteHope matatizo yataisha muda si mrefu na utatafuta fundi airekebishe. Pole sana
Vyote ninavyotumia vilikuwa part of the package.Adapter unayoitumia inaendana na tv? kwa maana ya voltage. Kuna scenario mtu ananunua TV mpya kisha anatumia adapter ya zamani ambayo unakuta ni ndogo kiutendaji. Ni kama kununua simu janja (kubwa) halafu unaichaji kwa kutumia charger ya simu kitochi (ndogo)
Tafuta fundi wa uhakika ,vinginevyo mafundi mchundo wanaenda kukuharibia tvVyote ninavyotumia vilikuwa part of the package.
Asante kwa ushauri mkuuTafuta fundi wa uhakika ,vinginevyo mafundi mchundo wanaenda kukuharibia tv
mi Nina mpango wa kununua 55nch nataka niende posta Kwa authorized dealer vip unanishaur vipi maana waliniambia 1:1mOhh Hisense tena,,, hizo kwa sasa kuotea kupata og ni kwa mbinde,, mjini zimejaa feki na zinasumbua sana ninalo langu nimeliweka tu kwenye box nalo shida kioo ni ya inch 58 au 60 hivi
Ndugu bora tu tafuta tv ya kampuni nyinginemi Nina mpango wa kununua 55nch nataka niende posta Kwa authorized dealer vip unanishaur vipi maana waliniambia 1:1m
point kubwa sana hiiAdapter unayoitumia inaendana na tv? kwa maana ya voltage. Kuna scenario mtu ananunua TV mpya kisha anatumia adapter ya zamani ambayo unakuta ni ndogo kiutendaji. Ni kama kununua simu janja (kubwa) halafu unaichaji kwa kutumia charger ya simu kitochi (ndogo)
mi Nina mpango wa kununua 55nch nataka niende posta Kwa authorized dealer vip unanishaur vipi maana waliniambia 1:1m