Msaada: TV Hisense Inch 55 imeacha kuonyesha picha

Msaada: TV Hisense Inch 55 imeacha kuonyesha picha

Yangu nahisi ni OG... Niliinunua Zenji na jamaa wakanihakikishia kuwa ni yenyewe
Ninahisi comment #3 yupo sahihi kwa tatizo la Tv yako.

Mfumo wa hizi Tv kubwa, ndani kuna vitaa vinavyoonesha mwanga wa picha kwa idadi 8-10 inategemea na ukubwa na muundo wa Tv.

Hivyo vitaa vikiungua, image hazionekani, unakuwa ukisikia sauti tu.

Tena tatizo huanza kwa kupungua mwanga na kuonesha uhafifu wa picha na baadaye picha kutoonekana kabisa.

Utapoieleka kwa fundi, atakachokifanya ni kununua spare za taa na kupachika, hapo si chini ya laki, maana sehemu zingine huuzwa hadi 20,000 kwa taa moja.
 
Ninahisi comment #3 yupo sahihi kwa tatizo la Tv yako.

Mfumo wa hizi Tv kubwa, ndani kuna vitaa vinavyoonesha mwanga wa picha kwa idadi 8-10 inategemea na ukubwa na muundo wa Tv.

Hivyo vitaa vikiungua, image hazionekani, unakuwa ukisikia sauti tu.

Tena tatizo huanza kwa kupungua mwanga na kuonesha uhafifu wa picha na baadaye picha kutonekana kabisa.
Utapoieleka kwa fundi, atakachokifanya ni kununua spare za taa na kupachika, hapo si chini ya laki, maana sehemu zingine huuzwa hadi 20,000 kwa taa moja.
Asante kwa ushauri kaka Mao. Ngoja nijipange nitafute fundi
 
Thank you for your patience, If your Hisense TV has no picture and no sound, this could be caused by several factors, such as:
• A problem with the power supply board, the backlight, or the TV panel.
• A wrong input source or a low brightness setting.
• A sleep timer that is activated.


To troubleshoot this issue, you can try the following steps:
• Unplug the TV from the power outlet and press the power button on the TV control panel for 30 seconds. Then plug the TV back into the outlet and turn it on.
• Make sure the TV is set to the proper input source and the brightness is not turned down too low.
 
Lete picha tuone Tv yako na box lake tujue kama ulichukua mpya au used vinginevyo ni unafiki wenu kutaka kupoteza soko la Hisense baada ya kuwapiga pichi tv zenu za ajabu za akina aboder
 
mi Nina mpango wa kununua 55nch nataka niende posta Kwa authorized dealer vip unanishaur vipi maana waliniambia 1:1m
Nimemchunguza huyu jamaa nimejua ni mpuuxi fulani mwenye lengo la kuharibu soko la HISENSE ni wa kupuuzwa huyu kanunue hiyo Tv hutojutia kumbuka warrant na kutumia original cable.
 
Nimemchunguza huyu jamaa nimejua ni mpuuxi fulani mwenye lengo la kuharibu soko la HISENSE ni wa kupuuzwa huyu kanunue hiyo Tv hutojutia kumbuka warrant na kutumia original cable.
Asanteh mkuu nashukuru
 
Bi mkubwa wangu ana Tv LG chogo alinunuaga mwaka 2012 Tsh. 400'000/='mekufa saketi sijui wanait Kadi,ivi zinapatikanaje na bei zake zipoje wakuu
 
Nimemchunguza huyu jamaa nimejua ni mpuuxi fulani mwenye lengo la kuharibu soko la HISENSE ni wa kupuuzwa huyu kanunue hiyo Tv hutojutia kumbuka warrant na kutumia original cable.
Sio wa kupuuzwa, yangu nimeweka chini ya kitanda. Ilileta tatizo la michirizi ya mustari halafu baada ya muda haikuinyesha kitu, only white screen. Nilivyo Google tu kuhusu hiyo mistari, sikuonyeshwa Brand nyingine zaidi ya Hisense. Ina maana latizo kuu lipo kwao.
 
Sio wa kupuuzwa, yangu nimeweka chini ya kitanda. Ilileta tatizo la michirizi ya mustari halafu baada ya muda haikuinyesha kitu, only white screen. Nilivyo Google tu kuhusu hiyo mistari, sikuonyeshwa Brand nyingine zaidi ya Hisense. Ina maana latizo kuu lipo kwao.
Sisi watu weusi tuna matatizo sana kwanza tunapenda vitu vya bei nafuu afu ustaarabu ni mdogo sasa kama Tv kwa nn uiweke chini ya kitanda ilifata nini huko na kwa nn yaan hamna sehemu zingine za kuiweka hadi iwe chini ya kitanda pia cable zenu huwa nashangaa sana mtu ananunua sabufa 150k na tv 450k lakini cable ya umeme ananua fake ya Tsh 5000 huyu mtu kweli yupo serious anashindwa nn kununua hata cable ya 13,000 OG alinde vifaa vyake.
 
Sisi watu weusi tuna matatizo sana kwanza tunapenda vitu vya bei nafuu afu ustaarabu ni mdogo sasa kama Tv kwa nn uiweke chini ya kitanda ilifata nini huko na kwa nn yaan hamna sehemu zingine za kuiweka hadi iwe chini ya kitanda pia cable zenu huwa nashangaa sana mtu ananunua sabufa 150k na tv 450k lakini cable ya umeme ananua fake ya Tsh 5000 huyu mtu kweli yupo serious anashindwa nn kununua hata cable ya 13,000 OG alinde vifaa vyake.
Ndio store, yangu. Nimeiweka baada ya kuharibika. Chini ya kitanda ndio sehemu pekee inaeeza kuwa safe maana hakuna anaepita huko. Cable situmii natumia straight kwenye umeme,
 
Back
Top Bottom