Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Wakuu ni muda mrefu sasa toka nianze kusumbuliwa na huu ugonjwa, kwa kifupi sijawahi pona mpaka nikawa fit kabisa! Mwili wangu umekuwa na uchovu kila muda hata kazi zangu haziendi kwa ufanisi.
Nimetumia dawa nyingi sana, za hospital mpaka za kienyeji lakini wapi! Hapa nilipo nina kama wiki toka nimalize dozi ila hali ni mbaya vile vile.
Imefika muda nakata tamaa, haiwezekani kila siku niumwe mimi tu! Kama ni kanuni za afya nafuata, maji ya kunywa nanunua, ya kuoga naweka waterguard, hata kula najitahidi kula sehemu zenye mazingira masafi!
Pengine humu kuna watu wamewahi pitia hali kama hii, je mlitumia tiba gani? Na kwa madaktari naomba recommendation ya dawa ambazo zinaweza zikanipa tiba ya kudumu!
Natanguliza shukrani!!
Nimetumia dawa nyingi sana, za hospital mpaka za kienyeji lakini wapi! Hapa nilipo nina kama wiki toka nimalize dozi ila hali ni mbaya vile vile.
Imefika muda nakata tamaa, haiwezekani kila siku niumwe mimi tu! Kama ni kanuni za afya nafuata, maji ya kunywa nanunua, ya kuoga naweka waterguard, hata kula najitahidi kula sehemu zenye mazingira masafi!
Pengine humu kuna watu wamewahi pitia hali kama hii, je mlitumia tiba gani? Na kwa madaktari naomba recommendation ya dawa ambazo zinaweza zikanipa tiba ya kudumu!
Natanguliza shukrani!!