tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
Wadau habar zenu!!
Toka huu mwaka umeanza nimekuwa nikisumbuliwa na typhoid mara kwa mara, nimetumia dawa aina tofauti tofauti mara chache napona na inajirudia tena pamoja na kufuata kanuni zote za usafi!
Mara ya mwisho nimepima wiki mbili zilizopita na nikikutwa nayo, nikapewa cipro ninywe kwa siku kumi, dozi nimemaliza Jumapili lakini hakuna mabadiliko yeyote, leo nimepima nimekutwa tena na hao wadudu wa typhoid!
Wadau naomba mwenye kujua tiba sahihi na ya kudumu kwa huu ugonjwa!
Natanguliza shukrani!!
Toka huu mwaka umeanza nimekuwa nikisumbuliwa na typhoid mara kwa mara, nimetumia dawa aina tofauti tofauti mara chache napona na inajirudia tena pamoja na kufuata kanuni zote za usafi!
Mara ya mwisho nimepima wiki mbili zilizopita na nikikutwa nayo, nikapewa cipro ninywe kwa siku kumi, dozi nimemaliza Jumapili lakini hakuna mabadiliko yeyote, leo nimepima nimekutwa tena na hao wadudu wa typhoid!
Wadau naomba mwenye kujua tiba sahihi na ya kudumu kwa huu ugonjwa!
Natanguliza shukrani!!