Msaada: UDSM MBA

Msaada: UDSM MBA

Temporary01

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2011
Posts
260
Reaction score
70
Habari wadau, naomba kwa yeyote aliyesoma MBA udsm au chuo kingine
chochote anisaidie material za kozi zifuatazo:

>Quantitative Methods
>Organization Theory and Management
>Managerial Economics

Kama ana slide ,kitabu au doc yoyote ya pdf nitashukuru.
Email yangu ni udsmmba13@gmail.com.
 
Habari wadau, naomba kwa yeyote aliyesoma MBA udsm au chuo kingine
chochote anisaidie material za kozi zifuatazo:

>Quantitative Methods
>Organization Theory and Management
>Managerial Economics

Kama ana slide ,kitabu au doc yoyote ya pdf nitashukuru.
Email yangu ni udsmmba13@gmail.com.
dah, mzee taiz hilo tujue unasoma MBA!!!!!! ha ha haaaaaaaa. kazi kwelikweli. mbona materials unasearch hata kwenye mitandao kibao na unapata, sio hiyo peke yake hata ukitaka lectures kwenye u tube za vyuo kibao duniani unavipata? au uvivu wa kutafuta mpaka upewe. hiyo MBA yako sijui kama utaieweza la sivyo utapata kama zile za kina Mwigulu mkuu
 
Back
Top Bottom