Lafacha
Senior Member
- Feb 3, 2017
- 195
- 275
naombeni mnifafanulie vizuri majibu haya ya ultrasound.
SASISHA (updates):-
Namshukuru ALLAH leo tarehe 02 januari 2023 mimi pamoja na familia yangu tumebarikiwa watoto wawili wote wa KIKE.
njia iliyotumika kujifungua ni njia ya kawaida.
Nawashukuruni nyote.
MBARIKIWE.
SASISHA (updates):-
Namshukuru ALLAH leo tarehe 02 januari 2023 mimi pamoja na familia yangu tumebarikiwa watoto wawili wote wa KIKE.
njia iliyotumika kujifungua ni njia ya kawaida.
Nawashukuruni nyote.
MBARIKIWE.