Asant kwa ushauri mkuuPPac
Pacha wa kwanza hajatanguliza ndo maana ya bleech ina maana atatoka akiwa katanguliza matako then pacha wa pili ndo atatoka kwa kichwa ambayo ni cephalic afu EDD ni expected date of delivery ndo iyo apo imeandikwa apo kwa hospital na wataalamu wa sasa lzma uingie theatre coz mtoto wa kwnz katanguliza matako ina maana baada ya apo kitafata kitovu kitu ambacho ni hatari kwa usalama wako jiandae mapema kujifungulia kwenye hosptl quality
Shukrani mzee. Kuna madhara yoyote kwa uyu alietanguliza makalio?
Vipi na uo uzito ni wa kawaida au uko chini ya kiwango?
ASant kwa ushauri mkuu. Ubarikiwe mnoNenda au mpeleke hospital, watoto wana Oligohydroamnion.
Means ile fluid ambayo watoto wanaelea, ni chache. Hili ni tatizo.
Kwa mapacha mmoja kuwa breech, ni kawaida wakunga huwa wanazalisha tuu.
Tatizo ni hiyo inadequate A.F
Pia USS result zake zina mapungufu kadhaa hajaestimate kiwango cha amniotic fluid.
Nenda hospitali madaktari watashauriana na wewe ku induce labour au CS.
Kwa kuongezea tu yale maji yaliyowazunguka watoto ni machache (oligohydramnios) muhimu kufika mapema hospital.Apo una mapacha,wa kwanza huyo katanguliza makalio, wa pili yupo kawaida, (katanguliza kichwa)makaridio tarehe ya kujifungua 11.1.2023, wa kwnza ana 3.6kg wa pili3.4kg Ila kwa ushauri nenda hosptal kwa maelekezo zaidi na msaada maana apa ata ukiambiwa uwezi kufanya chochote. Asante
Tayari nimemwambia mkuu🙏🏼🙏🏼Kwa kuongezea tu yale maji yaliyowazunguka watoto ni machache (oligohydramnios) muhimu kufika mapema hospital.
Kwani huko hospitali Dokta wako hajakusomea hiyo repoti na kukupa ufafanuzi?? By the way hongera sana baba/mama wawili.Sijakutwa na kitu mzee. Nilikuwa nataka maelezo kuhusu iyo attachment
Shukran mkuu. Jumatatu tunaenda clinic ntaongea na daktar kuhusu ilo1. Mapacha wawili wenye wiki 38
2. Kila pacha ana kondo lake la uzazi.
3. Maji kwenye kila kondo na mfuko wake ni pungufu.
Kwa wiki hizo atajifungua hivi karibuni.
Operation itarahisha, maana kuna mmoja hapo katanguliza makalio badala ya kichwa.