Msaada: Ufahamu kuhusu ndoa na talaka

akinyi111

Member
Joined
Jul 6, 2015
Posts
22
Reaction score
2
Wakuu naomba kuuliza, Ikitokea mwanaume kaoa mke ndoa ya kiislam wakaishi takribani miezi 9, wakaamua kuachana, Je mali zitagawanya nusu kwa nusu?

Ikumbukwe mwanamke kazikuta mali zote.
 
Aliekwambia ya kuwa sheria ya kislam yasema mali mwagawana nusu kwa nusu ninani huyo
 
Aliekwambia ya kuwa sheria ya kislam yasema mali mwagawana nusu kwa nusu ninani huyo

mgawanyo wa Mali za ndoa huangalia zile walizochuma kwa pamoja through joint efforts japo kuna presumption of properties,kiislamu nadhani huangalia Qur'anic share as per sect
 
mim miaka mitatu na mali nyigi tumechuma wote na sizifikirii nataka nakapambane kutafuta mim peke yangu mpaka nihakikishe nimempiga chin wakwti wakusaliana umepitwa na wakat piga kaz kiume heshima iwepo
 
kwa hizo sheria za kiislam aisee ni pagumu hata mkae miaka 20 hamgawani unapewa kiasi chochote chakuanzia maisha alichonacho mwanaume wakati huo!
hivyo wanawake wa kiislam ishini na waume zenu kwa mujibu wa dini hata kama una kipato maana ukijifanya kuchangia maendeleo nusu kwa nusu salama yako ndoa isivunjike , ikivunjika huna chako.

ila quran imeeleza mwanaume ni wajibu wake kukuvisha,kukulisha & mahitaji mengine. ( ni lazima sio hiari) ukijitia kujenga naye unalo maana hata mahakaman utaulizwa juu ya sheria za dini
 

Hivi ndivyo sheria inavyosema? Kwakuwa hakuna mahakama ya kadhi je divorce ya ndoa ya kiislam haimuliwi na mahakama za kawaida? Kama Ni hivyo je mahakama za kawaida yasemaje kuhusu Mali alizozikuta mwanamke? Kwa mfano nyumba nk
Je umri wa ndoa inapovunjika na kuwa na watoto inabadili lolote
 
Wakuu naomba kuuliza, Ikitokea mwanaume kaoa mke ndoa ya kiislam wakaishi takribani miezi 9, wakaamua kuachana, Je mali zitagawanya nusu kwa nusu?

Ikumbukwe mwanamke kazikuta mali zote.


Kijana unaonekana wew ni muislam jina. Unaoaje kiislamu halafu hujui sheria za kiislam juu ya ndoa na talaka. ? Mke katika uislamu ukimuacha hakuna mgao wa mali kwasababu si zake na wala hakuna sheria hiyo.
Labda kwa upande wa kumfanyia ihsani unaweza msaidia chochote hukonaendako.
Masuala ya ndoa katika uislamu yana sheria yake. Pia masuala ya Talaka, lakini vile vile mambo ya mirathi.

Inashangaza kuona ndoa umefunga msikitini ila kuachana mnaenda mahakamani au polisi.
Na hata hiyo mali uwe umeipata wakati yuko ndani tayari basi hakuna mgao labda iwe mumekubaliana juu ya mambo mengine amabyo yatapelekea kugawana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…