Mbwa kala mbwaa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 218
- 389
Wakuu madaktari wa Jf,nina ndugu yangu mwaka jana mwezi wa nne alipatwa na matatizo ya akili,na kuanza kuongea maneno yasiyo eleweka,kudai anasikia sauti za aina mbalimbali ambazo wengine hatuzisikii,kupiga kelele ovyo na hata kujaribu kudhuru wengine na kujidhuru.
Tulimwahisha Hospitali ya Muhimbili,na alilazwa kwa wiki 2. Katika diagnosis,madaktari walisema ana "Bipolar Mania",na amekuwa akitumia dawa aina ya "Carbamazepine" na "Haloperidol" toka april mwaka jana. Hali yake sasa imekuwa stable.
Sasa nilikuwa nataka kujua: 1/Je,madawa haya ya akili kuna mwisho wa kutumia,au ni Lifetime dosage? 2/Ugonjwa huu wa Bipolar Mania unaweza kupona moja kwa moja au hauponi? AHSANTENI.
Tulimwahisha Hospitali ya Muhimbili,na alilazwa kwa wiki 2. Katika diagnosis,madaktari walisema ana "Bipolar Mania",na amekuwa akitumia dawa aina ya "Carbamazepine" na "Haloperidol" toka april mwaka jana. Hali yake sasa imekuwa stable.
Sasa nilikuwa nataka kujua: 1/Je,madawa haya ya akili kuna mwisho wa kutumia,au ni Lifetime dosage? 2/Ugonjwa huu wa Bipolar Mania unaweza kupona moja kwa moja au hauponi? AHSANTENI.