GedsellianTz
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 1,348
- 1,805
Habarini wakuu.
Tumaini langu wote ni wazima. Kuna jamaa angu anasumbuliwa na figo...amekuwa akivimba mwili mara kwa mara, hospitali alichek akaambiwa ana tatizo la figo lakini hakupewa dawa zaidi aliambiwa anywe maji mengi tu, kwa sasa hali inazidi kubadilika kwani anaweza kumaliza hata siku tatu hajaenda haja, pia akaifanikiwa kwenda anapata maumivu makali sehemu ya haja kubwa.
Msaada kama kuna mtu humu anafahamu dawa anisaidie plllz. Natanguliza shukrani zangu.
Tumaini langu wote ni wazima. Kuna jamaa angu anasumbuliwa na figo...amekuwa akivimba mwili mara kwa mara, hospitali alichek akaambiwa ana tatizo la figo lakini hakupewa dawa zaidi aliambiwa anywe maji mengi tu, kwa sasa hali inazidi kubadilika kwani anaweza kumaliza hata siku tatu hajaenda haja, pia akaifanikiwa kwenda anapata maumivu makali sehemu ya haja kubwa.
Msaada kama kuna mtu humu anafahamu dawa anisaidie plllz. Natanguliza shukrani zangu.