Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,508
- 2,619
- Thread starter
- #21
Asante mkuu. Ntajitahidi kupambana na kupe, kuhusu antibiotics huwa nawapa ila ni patupu mkuu.Leodigardcyrilo said:dhibiti kupe wape antibiotics
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu. Ntajitahidi kupambana na kupe, kuhusu antibiotics huwa nawapa ila ni patupu mkuu.Leodigardcyrilo said:dhibiti kupe wape antibiotics
Wakishafika stage ya kuzunguka mkuu hata uwape antibiotic hawawezi kupona bila ya kuwa na supportive drugsKwanza fuatilia maeneo wanapo lia chakula dhibiti kupe wape antibiotics
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama zipi mkuu?Sande nicolaus said:Supportive drugs
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mna roho..........kama raisi wenuKm nawaona wanavyozunguka lol
Ndugu upo Dar?Habarini!
Mbuzi wangu wamekuwa wakisumbuliwa na ugonjwa wa kuzunguka. Yaani huu ugonjwa mbuzi akiugua anashindwa hata kutembea (anabaki kuzunguka tu hapo hapo) na unaonekana huwa unaathiri upande fulani wa mbuzi.
Kwa mfano, akiathirika sana kiasi cha kushindwa kusimama, yaani akishalalia tu upande wa kushoto basi hawezi kulalia upande wa kulia hata kama unamgeuza.
Yaani ukimgeuzia huo upande mwingine utakuta anajigeuza haraka sana (inakuwa mithili ya ncha za sumaku ambazo haziendani).
Naomba msaada wa namna yoyote wa tiba, chanjo na jina la ugonjwa kitaalamu.
Habarini!
Mbuzi wangu wamekuwa wakisumbuliwa na ugonjwa wa kuzunguka. Yaani huu ugonjwa mbuzi akiugua anashindwa hata kutembea (anabaki kuzunguka tu hapo hapo) na unaonekana huwa unaathiri upande fulani wa mbuzi.
Kwa mfano, akiathirika sana kiasi cha kushindwa kusimama, yaani akishalalia tu upande wa kushoto basi hawezi kulalia upande wa kulia hata kama unamgeuza.
Yaani ukimgeuzia huo upande mwingine utakuta anajigeuza haraka sana (inakuwa mithili ya ncha za sumaku ambazo haziendani).
Naomba msaada wa namna yoyote wa tiba, chanjo na jina la ugonjwa kitaalamu.
Nipo Kisarawe mkuu.Steven Nguma said:Upo Dar ndugu?
Tofauti na kuzunguka, wako na dalili zipi nyingine?Nipo Kisarawe mkuu.
Wataalamu wengine tabu sana, unawezaje kutumia dalili moja kuconclude kwamba ugonjwa ni cowdriosis? una uhakika hao mbuzi wako na Amblyomma ticks infestations?Kupona inakuwa ngumu sana kwa sababu moyo unakuwa na maji na pia kuna kuwa uvimbe kwenye tezi,kwaiyo unapotumia tetracycline pekee utatibu vidudu tu vya ugonjwa lakn kuna maji kwenye moyo na hayo mauvimbe unakuwa umeyaacha na ndio yanayomuua mnyama.....kinga ni kuwaogesha tu ili kuua kupe coz ndio causative agent... Kupe anamagonjwa mengi sana kwa mnyama na yote ni hatari sana cha muhimu mtafute Dr naamini utapata ushauri mzuri na mengne mengi katika ufugaji wako mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio lazima iwe heart water msikariri, mala nyingi kwa mbuzi na kondoo huwa ni Listeriosis, ugonjwa huu husababishwa na bacteria wanaoitwa Listeria monocytogenes, signs na symptoms nyingi ni kama za cowdriosis lakini kwa Listeriosis mzunguko wake ni wa upande mmoja pekee, kwenye heart water lazima mnyama atoe povu mdomoni wakati kwa Listeriosis hudondosha mate upande mmoja sababu ya partial paralysis.huo ni heart water disease akianza hvyo ujue kupona ni mara chache kaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu haya majibu yako yapo kitaalamu zaidi, ungetumia lugha laini kuelezea maana sio wote ni madaktari kama wewe. Sisi wengine ni wakulima tu, na tungependa kupata majibu murua tuwaponye hawa mbuzi wetu, ubaya wake sasa hayo majibu yanazidi kutuongezea kizunguzungu na sisi pia 😀😀😀Sio lazima iwe heart water msikariri, mala nyingi kwa mbuzi na kondoo huwa ni Listeriosis, ugonjwa huu husababishwa na bacteria wanaoitwa Listeria monocytogenes, signs na symptoms nyingi ni kama za cowdriosis lakini kwa Listeriosis mzunguko wake ni wa upande mmoja pekee, kwenye heart water lazima mnyama atoe povu mdomoni wakati kwa Listeriosis hudondosha mate upande mmoja sababu ya partial paralysis.
Listeriosis pia prognosis yake ni issue though ukiiwahi mala chache wanyama hurecover, Listeriosis ndo husababisha Encephalitis so sometimes wengi huita tu encephalitis though sio sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahSasa atatokaje na mbuzi huko katerero au rubondo hadi Sua...!?
Akimpakisha kwenye bus abiria wakianza kuzunguka huko ndani itakuwaje...!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu dalili znazoonekana sana ni;Sumve 2015 said:Tofauti na kuzunguka wako na dalili zipi nyingine?
Mkuu kwanza pole kwa kupatwa na hali kama hiyo kwenye mifugo yako.Mkuu dalili znazoonekana sana ni;
~Mbuzi huanza kuzubaa,
~Kuanza kulia (kupiga kelele) mithili ya anayepata maumivu fulani.
~Baadae huanza kutokwa na maji maji mdomoni.