zhang laoshi
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 434
- 581
Habari Team
Poleni na majukumu, watoto wangu Wana Ugonjwa wa ngozi wanajikuna na kutokea vidonda na kuacha makovu meusi.
Nilifika hospital nikaambiwa na alegi waache kutumia ,mayai, nyama, maziwa na vitu vya sukari.
Niliacha kuwapa lakini bado watoto wanajikuna na kuacha makovu
Naombeni kujuzwa hata dawa za mitishamba ziwasaidie.
Asanteni
Poleni na majukumu, watoto wangu Wana Ugonjwa wa ngozi wanajikuna na kutokea vidonda na kuacha makovu meusi.
Nilifika hospital nikaambiwa na alegi waache kutumia ,mayai, nyama, maziwa na vitu vya sukari.
Niliacha kuwapa lakini bado watoto wanajikuna na kuacha makovu
Naombeni kujuzwa hata dawa za mitishamba ziwasaidie.
Asanteni