zhang laoshi
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 434
- 581
Pole sana, huo unaitwa ukurutu, scabies kitaalamu.. Ni bora uende hosp nyengine wawaangalie vizuri ili wote waanze matibabu ikiwezekana na wewe mwenyewe kama umekupata pia.Makovu haya View attachment 2826866
Op ameandika ameenda hospital tayari ila bado tatizo linaendelea.Pole sana mkiu. ila ungeenda hospital ingesaidia zaidi then utupe mrejesho na sisi tujifunze
Amabhundujo.Habari Team
Poleni na majukumu, watoto wangu Wana Ugonjwa wa ngozi wanajikuna na kutokea vidonda na kuacha makovu meusi.
Nilifika hospital nikaambiwa na alegi waache kutumia ,mayai, nyama, maziwa na vitu vya sukari.
Niliacha kuwapa lakini bado watoto wanajikuna na kuacha makovu
Naombeni kujuzwa hata dawa za mitishamba ziwasaidie.
Asanteni
Mpake mafuta ya mnyonyo (castor oil)Makovu haya View attachment 2826866
Kama usiku ndiyo wanawashwa sana itakuwa scabies....nenda kwa speacilist wa ngozi...kama ni scabies itabidi nyumba nzima mpake dose...na kufanya bonge la usafi...madogo wangu waliambukizwa na aunt yao alipotoka boarding school...madogo waliteseka sana maana na wenyewe waliambiwa mambo ya pumu ya ngozi....scabies ni kama kunguni wa ndani ya ngozi ...noma sana aiseeHabari Team
Poleni na majukumu, watoto wangu Wana Ugonjwa wa ngozi wanajikuna na kutokea vidonda na kuacha makovu meusi.
Nilifika hospital nikaambiwa na alegi waache kutumia ,mayai, nyama, maziwa na vitu vya sukari.
Niliacha kuwapa lakini bado watoto wanajikuna na kuacha makovu
Naombeni kujuzwa hata dawa za mitishamba ziwasaidie.
Asanteni
Hao watoto wapo hivyo kuna Vyakula akila anaanza kujikuna Mwili mzima tena ukikuta Cha kike kinajikuna huku kinalia Sasa mzazi inabidi umjue mwanao chakula gani nikimlisha anapatwa na hali hii mfano Samaki au nyama wengine wakila tu wanaanza kujikuna au Vyakula vya ngano ngano km Tambi akila tu anaanza kupiga gitaa Mwili mzimaHao madokta wamezingua, allergy sio kitu specific kama hivyo et mayai n.k allergy inatofautiana mtu na mtu, angalia patterns ya kitu ambacho akitumia kinazidisha, it might take sometime.
Wakwangu tulienda tulitumia gharama sana kila dokta alisema lakwake, ni kweli ilikua ni allergy lakini yeye yakwake ilikua akila parachichi, ilichukua muda kufahamu, hadi sasa amepona ni makovu ndo yanaishia ila tatizo limeisha bila dawa yoyote
Huo ugonjwa hauambukizi hata kidogo mkuu yaan mtoto alionao ndio utamsumbua yeye tu watoto wengine au hata wewe unaweza umshike na umuhudumie na usikupate hata Mama yao hauwezi kumpata pamoja na kwamba anawahudumia, watoto anaweza hata kucheza nao na asiwaambukize Ila yeye tu ndio unamsumbua, sio wa kuambukizaHata ninyi kwa sabab unaambukiza.
Kama ni scabies wanaambukiza haraka sanaHuo ugonjwa hauambukizi hata kidogo mkuu yaan mtoto alionao ndio utamsumbua yeye tu watoto wengine anaweza hata kucheza nao na asiwaambukize Ila yeye tu ndio unamsumbua, sio wa kuambukiza
Umetumia BBE?Habari Team
Poleni na majukumu, watoto wangu Wana Ugonjwa wa ngozi wanajikuna na kutokea vidonda na kuacha makovu meusi.
Nilifika hospital nikaambiwa na alegi waache kutumia ,mayai, nyama, maziwa na vitu vya sukari.
Niliacha kuwapa lakini bado watoto wanajikuna na kuacha makovu
Naombeni kujuzwa hata dawa za mitishamba ziwasaidie.
Asanteni