Msaada: ujenzi wa nyumba kwa chuma

Madcheda

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2009
Posts
423
Reaction score
69
Wadau nijipiga piga nikapata vijisenti kdg nataka kujenga sehem ya kujificha jua kuna hawa jamaa wanaitwahttp: //humannehomes.com/index.html wanajenga Nyumba kwa chupa halaf wanapiga plasta was cemen cement ikiwa imeshikiliwa na wire mesh.

Naomba kujua Kama kuna MTU ashawasikia na VP kuhusu ubora wa Nyumba zao. Me niliziona Kama za ulaya au marekan ingawa huko wanatumia mbao Ila hawa wanatumia Chuma.

Asante
 
Una nyumba ngapi? kama ndo ya kwanza kanunue tofali uanze kujenga kama unazo nyingi basi jenga hiyo ya chupa sijui chuma halafu utakuja kutupa feedback. weather condition ni factor kubwa sana kwenye ujenzi, usine ntumba ya mbao ulaya nawe ukataka kuijenga bongo.
 
tumia kinyesi cha wanyama mfano simba,chui au hata mamba
 
nadhani ukiingia kwenye website yao ya www.humanehomes.com utaona contact details zao,if your serious customer watakupa details.i think they ship worldwide, kama sio worldwide with africa since wapo south africa.
 
nadhani ukiingia kwenye website yao ya www.humanehomes.com utaona contact details zao,if your serious customer watakupa details.i think they ship worldwide, kama sio worldwide with africa since wapo south africa.

Nishaenda kuwaona saiv najaribu kufikilia nijenge ya kawaida au iyo ya chuma
 
Actually nyumba ya mbao inakubali kila mazingira,,sema tu kwa Bongo ,mbao ni gharama sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…