Wadau nijipiga piga nikapata vijisenti kdg nataka kujenga sehem ya kujificha jua kuna hawa jamaa wanaitwahttp: //humannehomes.com/index.html wanajenga Nyumba kwa chupa halaf wanapiga plasta was cemen cement ikiwa imeshikiliwa na wire mesh.
Naomba kujua Kama kuna MTU ashawasikia na VP kuhusu ubora wa Nyumba zao. Me niliziona Kama za ulaya au marekan ingawa huko wanatumia mbao Ila hawa wanatumia Chuma.
Asante
Naomba kujua Kama kuna MTU ashawasikia na VP kuhusu ubora wa Nyumba zao. Me niliziona Kama za ulaya au marekan ingawa huko wanatumia mbao Ila hawa wanatumia Chuma.
Asante