Msaada ulevi unanitesa

kweli naku support mimi niko hapa nina week mbili naelekea ya tatu nimesema pombe nitakunywa kwa stareheh na sio kama zamani kunywa kila dakika asubuhi mchana jioni yaani 24hrs.nashukuru mungu usingizi napata angalau japo bado mwili hujaka sawa ila matatizo ya kutoka jasho kutetemeka na kujishtukia imeisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…