TANZANIA NCHIYANGU
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 633
- 805
HIV sina...nimepima na wife cku za karibuni anamimba
Sawa mkuu inabidi niende week ijayoNenda hospitali
Sawa mkuu nitaenda,nia ya kulileta humu ni ili kama kuna mtu ashawahi pata ili tatizo anisaidie ushauri aliponajeHumu hakuna dawa, kuna maandishi tu! wahi hospital kwa dokta utapata tiba.
Sent using Jamii Forums mobile app
wakuu na hilo tatizo limenianza siku kama nne zilizopita,kilitokea kitu kama kiramani kidogo kwenye ulimi chenye rangi nyekundu hivi siku ya kwanza kilikuwa kama kimevimba kidogo but kesho yake uvimbe ukapotea..hicho kiramani bado kimebaki kwenye ulimi na kina maumivu makali nikila kitu kikagusa iyo sehemu haswa kiwe kitu cha moto or kwa bahati mbaya nikiigusa wakati napiga mswaki.
Naombeni uzoefu wenu jamani hilo ni tatizo gani linasababishwa na nini na matibabu yake ninini sababu nakosa amani kabisa
Sawa mkuu ahsante sana kwa ushauri wako wakiungwana,nitajaribu kufanya hivyoInawezekana ikawa upungufu wa vitamin be au che jaribu kula matunda kwa wingi na nunua dawa vitamin b complex au vitamin che ikiendelea ni vema uende hospitali inaweza kua tatizo lingine kabisa
Ahsante sana mkuu,nitafanya hivyo
Ahsante sana mkuu,ngoja niitafute hiyo mult vitaminiKanunue multi-vitamin (vyekundu) umeze, usinunue vitamin b complex (njano)matokeo yake huchelewa kuonekana
Kingine ule matunda kwa wingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umeisha pewa majibu?????wakuu na hilo tatizo limenianza siku kama nne zilizopita,kilitokea kitu kama kiramani kidogo kwenye ulimi chenye rangi nyekundu hivi siku ya kwanza kilikuwa kama kimevimba kidogo but kesho yake uvimbe ukapotea..hicho kiramani bado kimebaki kwenye ulimi na kina maumivu makali nikila kitu kikagusa iyo sehemu haswa kiwe kitu cha moto or kwa bahati mbaya nikiigusa wakati napiga mswaki.
Naombeni uzoefu wenu jamani hilo ni tatizo gani linasababishwa na nini na matibabu yake ninini sababu nakosa amani kabisa
Ndiyo ndugu,vipi ushawahi pata ili tatizo nini...ulifanikiwaje kupona ndugu..nitashukuru ukinisaidia
Mkuu wadau hapo wamejaribu kuchangia kutokana na experience yao...nawe pia naomba unisaidie kutokana na uzoefu wako nikiunganisha na mawazo mengine ya wadau hapo nafikiri nitaimarika vizuri na kupata tiba sahihi
Mkuu unaupungufu wa vitamin C, wew kanunue multi vitamin kwenye duka la dawa.Mkuu wadau hapo wamejaribu kuchangia kutokana na experience yao...nawe pia naomba unisaidie kutokana na uzoefu wako nikiunganisha na mawazo mengine ya wadau hapo nafikiri nitaimarika vizuri na kupata tiba sahihi
Mkuu unaupungufu wa vitamin C, wew kanunue multi vitamin kwenye duka la dawa.
But kwa uhakika zaid kama hela ipo kamuone dactar.
Hakuna utaratibu wakutibu kwenye simu.
Sent using Jamii Forums mobile app