kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Habar ndugu zangu . naomben msaada kuna mtoto wa ndugu yangu nimekuja kumuona huku kijijin bahat mbaya ana tatizo la ulimi mzito yaani hawez kuongea vizuri japo anatamka maneno machache machache kama mama, baba, Dada na kiakili yupo sawa kabisa hana shida yoyote ile na anasikia vizur.
Naomba msaada je anaweza kutibiwa hilo tatizo kwa kukata hiyo mishipa inayosababisha ulimi kuwa mzito au kuna njia nyingine .
Kijana ana umri wa miaka 13
Naomba msaada je anaweza kutibiwa hilo tatizo kwa kukata hiyo mishipa inayosababisha ulimi kuwa mzito au kuna njia nyingine .
Kijana ana umri wa miaka 13