Msaada: Uliwezaje kumuacha mchepuko ilhali bado unampenda?

Hapo kwenye God fearing sasa na huku mlikuwa mnazini hiyo God fearing inatoka wapi
We nae una maswali ya papo kwa papo..[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Bro umeshauri vyema hadi nimekutukana[emoji28]
 
Kwahiyo mkeo sio mtamu mkuu.. yaani hanogi tuu hata kwa kulumangia.!??
By default, mke akishazaa watoto huwa hanogi tena, anahamishia mapenzi kwa mtoto/watoto..

Majukumu yanaongeza stress mpaka unamuona mkeo hananogi kwa lolote...kodi,ada,matibabu, bili za maji, umeme....hivi vyote vinafanya mke asiwe mtamu hata..

Mume unakuwa ni ziada tu,....hupewi tena attention kubwa, hupetiwipetiwi, ikifika muda wa teno hakuna maandalizi, huo muda mke hana..

Mke anakuambia, baba nanihii nikishalala usiniamshe, na huko kitandani anakupanulia tu mapaja....twa twaa twaaa...paa paa paaa....bao...haya tulale..

Ukute tena mke mwenyewe ana gubu na makelele...mwanaume hata hilo bao moja unalipata kwa jasho kwa huyo mkeo..

Ikifikia hali hii, mwanaume akipata mchepuko,anasikia raha ya tendo kama vile yupo wapi sijui..

Si kwamba wanaume wanapenda kuchepuka kiasi hicho, tanuri linolofuka moshi huko ndani ya ndoa, ndiyo linasababisha mtu atafute kipoozeo

Mtoa post nimemuelewa sana.[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Winnie ni mtamu sana,mtamu kama asali ila anapenda hela sana-nikamuacha,nikatafuta chepuko lingine zuri lisilopenda sana hela
 

Amsifie tu tena ingewezekana amchukue amuoe kabisa
 

Nimeyumba mnooo nakubali kbs
 
Nilitubu dhambi na kuiamini Injili
 
Mkuu achana kujibishana na hii mikitu unakua kama mgeni hapa JF?! Hawa watakuchosha tu they are toxic broken feminists

Na hiyo ndio inaharibu ndoa zao kujikuta mafeminists bila kujua hakuna nwanaume mkali mbele ya mwanamke mtii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…